Category: Habari Mpya
Maarifa ya asili yasaidia uhifadhi wa misitu Loliondo
Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Loliondo Matumizi ya maarifa ya asili katika uhifadhi wa misitu, vyanzo vya maji na mazingira umesaidia jamii ya wafugaji Kata ya Enguserosambu kutoathirika na mabadiliko ya tabia nchi. Wakizungumza na waandishi wa habari waliofika katika Kata hiyo, ,kupitia mradi…
Mradi wa kimkakati bandari ya Ndumbi ziwa Nyasa wakamilika
Mradi wa kimkakati wa ujenzi wa bandari ya Ndumbi ziwa Nyasa wilayani Nyasa mkoani Ruvuma umekamilika. Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Nyasa ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mheshimiwa Aziza Mangasongo amesema mradi huo umetekelezwa na Kampuni ya…
Bil.1.7/- za UVIKO-19 kukamilisha mradi wa jengo la madarasa
Fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO 19 zaidi ya bilioni 1.7 imewezesha kukamilishwa kwa Mradi wa jengo la madarasa, maabara na ofisi katika Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) Akitoa taarifa ya utekelezaji…
Wizara ya Maliasili na Utalii kujenga makumbusho ya marais Dodoma
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeanza maandalizi ya ujenzi wa Makumbusho kubwa ya Marais wa Tanzania Jijini Dodoma kwa lengo la kuhifadhi Urithi wa mchango mkubwa walioutoa na unaoendelea kutolewa. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na…
Rais Samia amlilia Malkia Elizabeth II
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na kifo cha Malikia Elizaberth II wa nchini Uingereza, kilichotokea jana Alhamisi Septemba 8, 2022 katika visiwa vya Balmoral nchini Scotland alipokuwa anapatiwa matibabu. Katika ukurasa wake wa Twitter, Rais Samia ameandika, “Nimesikitishwa…





