Category: Habari Mpya
Wizara, wadau wajipanga kupunguza tatizo la watoto mitaani
Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha inapunguza tatizo la Watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Akizungumza katika kikao naTaasisi ya Azaria Foundation jijini Dodoma Agosti 22, 2022…
Jafo ahimiza wananchi kushiriki Sensa Agosti 23
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Pwani Mjumbe wa Kamati ya Sensa kitaifa na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo amewataka wananchi kutowabughudhi makarani wa sensa na badala yake kuwapa ushirikiano wafanikishe shughuli hiyo Aidha Jafo amesema kamati…
Mwanafunzi ajinyonga baada ya madaftari na nguo zake kuungua
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Njombe Mwanaunzi wa darasa la sita Marko Sanga (12), amekutwa amekufa baada ya kujinyonga kwa kutumia mnyororo wa baiskeli kwa kile kinachodaiwa kuwa kutokana na radio, nguo za shule pamoja na madaftari kuungua kwa shoti ya umeme. Kwa…
Ridhiwani akabidhi mashamba 11 yaliyoshindwa kuendelezwa Kilosa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Kilosa Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Ridhiwani Kikwete amewahimiza viongozi wa Wilaya ya Kilosa kusimamia mpango wa matumizi ya mashamba 11 aliyoyakabidhi mwishoni mwa wiki , wilayani humo kwa niaba…





