Category: Habari Mpya
Mradi mkubwa wa kusafirisha umeme Tanzania-Zambia kukamilika 2025
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya IMEELEZWA kuwa, mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya kV 400 kutoka Iringa-Tanzania hadi nchini Zambia (TAZA) utaanza kutekelezwa Januari, 2023 na utakamilika Januari 2025 hali itakayopelekea kuimarika kwa upatikanaji umeme katika mikoa ya Iringa,…
Kinana, Shaka watua Katavi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewasili mkoani Katavi kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi itakayokwenda sambambamba na kupokea taarifa na kukagua miradi ya maendeleo. Katika ziara hiyo ya…
IGP Wambura :Watakaovunja sheria kushughulikiwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilus Wambura amewataka wananchi wa jiji la Arusha kuendelea kutunza amani iliyopo na kutokujiingiza kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani hasa kipindi hiki ambapo kuna mkutano mkubwa wa Maras…
Happy Nation lagongana uso kwa uso na roli
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Watu wanne wamejeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani iliyotokea katika eneo la Mkambalani wilayani Morogoro ikihusisha basi la abiria kampuni ya Happy Nation lenye namba za usajili T 702 DGF lililokuwa likitokea Dar es…
Burigi Chato yatakiwa kujitangaza kufikia uwezo kujiendesha
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kamishna Uhifadhi (TANAPA), William Mwakilema ameagiza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Burigi -Chato kuboresha huduma za utalii pamoja na kuongeza juhudi za kujitangaza ili kufikia uwezo wa kujiendesha na kuchangia pato la Taifa. Kamishna Mwakilema ameyasema hayo…





