Category: Habari Mpya
Mapendekezo ya PAC yazingatiwe
Siku chache zilizopita Tanzania imekumbwa na taharuki baada ya kutangazwa rasmi kuwapo kwa mgawo wa umeme na maji katika miji na majiji kadhaa. Taarifa hii ya kushitusha imetokana na ukosefu wa mvua za vuli na za msimu zilizotarajiwa kunyesha katika…
Polisi wachunguza madai ya Mbunge
MBOGWE Na Antony Sollo Polisi mkoani Geita wameanza uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa bungeni wiki chache zilizopita kuwa maofisa madini mkoani hapa wamewaua kikatili watu sita. Tuhuma hizo zilitolewa bungeni jijini Dodoma na Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga, akidai kuwa mmoja…
Sauli, New Force wanachezea sharubu za Sirro
Dar es Salaam Na Joe Beda Rupia Simba ni mmoja wa wanyama wakali sana. Si sahihi hata kidogo na ni hatari sana kumchezea au kumfanyia masihara mnyama huyu mla nyama. ‘Kuchezea sharubu za simba’ ni hatari. Au tuseme haiwezekani kabisa!…
FEI TOTO… Muda sahihi, umri sahihi, wakati sahihi
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Yupo mchezaji mmoja wa Tanzania kwa sasa anayenivutia. Bila shaka huwavutia mashabiki wengi wa soka nchini. Mchezaji huyu anaitwa Feisal Salum Abdallah. Inasemekana kwamba ni bibi yake ndiye aliyeanza kulifupisha jina lake na kumuita…
‘Riadha itumike kuimarisha uhusiano’
SERENGETI Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amesema michezo ina nafasi kubwa ya kuimarisha uhusiano na ujirani mwema miongoni mwa wadau wa utalii nchini. Akizungumza baada ya kushiriki mbio maalumu za Serengeti Safari Marathon wiki…
Deni la taifa, mgawo wa maji, umeme
Na Deodatus Balile, Bukoba Mwezi mmoja uliopita niliandika makala iliyoamsha hisia katika viunga vingi vya nchi hii. Nilizungumzia ukuaji wa deni la taifa. Nilitumia takwimu za Benki Kuu kukokotoa ukuaji wa deni na kuonyesha kuwa limefikia Sh trilioni 78 sasa. …





