Category: Kimataifa
Mtoto wa miaka 11 aokolewa baada ya siku 3 baharini
Mtoto wa kike wa miaka 11 kutoka Sierreleone, aliyenusurika peke yake katika ajali ya boti aliokolewa usiku wa kuamkia Jumatano baada ya kukaa kwa siku tatu baharini katika kisiwa cha Italia cha Lampedusa. Shirika la hisani la uokozi la Kijerumani…
FIFA yathibitisha kuwa Saudi Arabia itaanda Kombe la Dunia 2034
Michuano ya Kombe la Dunia kwa wanaume ya 2034 itafanyika Saudi Arabia, wakati Uhispania, Ureno na Morocco watakuwa wenyeji wa pamoja wa mashindano ya 2030, Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limethibitisha. Mechi tatu katika mashindano ya 2030 pia zitafanyika Argentina,…
Israel yathibitisha mashambulizi dhidi ya meli za kivita za Syria
Israel imethibitisha kufanya mashambulizi dhidi ya meli za kivita za Syria, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuondosha mali za kijeshi nchini humo baada ya kuanguka kwa utawala wa Assad. Katika taarifa yake jeshi la ulinzi la Israel (IDF)…
Netanyahu kutoa ushahidi mahakamani leo kuhusu tuhuma za ufisadi
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anatarajiwa kutoa ushahidi mahakamani leo wa tuhuma za rushwa. Waendesha mashtaka wamemshutumu kwa kutoa makubaliano ya kisheria kwa wamiliki wa vyombo vya habari ili kupata habari chanya, na kukubali zawadi na faida za gharama…
Benki ya Dunia yapunguza makadirio ya ukuaji wa uchumi Kenya 2024
Benki ya Dunia yapunguza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya 2024 hadi asilimia 4.7 kutokana na changamoto za kifedha Benki ya Dunia imepunguza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya kwa mwaka huu hadi asilimia 4.7 siku ya Jumanne,…
Kiongozi wa upinzani wa Uganda Besigye afikishwa mahakamani
Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Kizza Besigye na mshtakiwa mwenzake, Obeid Lutale wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Kampala, huku kukiwa na ulinzi mkali. Wawili hao wanakabiliwa na mashtaka manne yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, tuhuma ambazo wanakanusha. Leo,…




