Category: MCHANGANYIKO
CTI yahimiza wenye viwanda washiriki maonyesho ya viwanda Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TanTrade), wameandaa maonyesho makubwa ya kimataifa ya viwanda ambapo zaidi ya viwanda 200 vya ndani na nje ya nchi vitashiriki maonyesho hayo….
Biteko : Viongozi nendeni mkawasikilize wananchi
Teresia Mhagama na Godfrey Lulinga Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali nchini kwenda kwenye maeneo ya wananchi kwa ajili ya kutoa huduma, kusikiliza kero zao na kuzitatua. Amesema hayo tarehe 28…
Waziri Kairuki akutana na Rais wa Baraza la Utalii Duniani, wajadili kukuza utalii nchini
Riyadh, Saudi Arabia Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Rais ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Utalii Duniani (World Travel Tourism Council (WTTC) , Bi. Julia Simpson kwa lengo la kujadili…
Dar es Salaam yaongoza ugonjwa kichaa cha mbwa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma ZAIDI ya watu 20,000 wameripotiwa kung’atwa na mbwa kwa kipindi cha Januari hadi Agosti mwaka huu ambapo mkoa wa Dar es Salaam unaongoza ukifuatiwa na mikoa ya Dodoma , Morogoro na Arusha. Jumla ya dozi…
MSD : Upatikanaji wa dawa nchini umeimarika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), Mavere Tukai amesema amesema kuwa upatikanaji wa dawa nchini umefikia asilimia 81 mwezi Juni 2023 kutoka asilimia 57 mwezi Juni 2022 jambo ambalo limechangia kurahisisha utoaji huduma nchini….
Bilioni 5.7/- kuunganisha kijiji cha Kapeta Landani kwa lami
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza ujenzi wa Barabara ya Kiwira–Landani kwa kiwango cha lami yenye urefu wa Km 5 pamoja na daraja lenye urefu wa mita 40 kwa gharama ya shilingi…





