JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ashikiliwa kwa tuhumza za kumbaka mtoto ndani ya gari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Jeshi la Polisi mkoani Katavi linamshikilia Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Mpimbwe Dickson Mwenda (37) kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 15 mkazi wa Kibaoni. Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Ali Makame…

Nchemba awataka wananchi kutoa taarifa sahihi kwa makarani

Na Peter Haule,JamhuriMedia,Singida Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewataka wananchi wote ambao hawajafikiwa na zoezi la sensa kuendelea kutenga muda na pia wakifikiwa watoe ushirikiano kwa makarani wa sensa kwa kutoa taarifa sahihi Dkt.Nchemba ameyasema hayo…

Magu yatafuta mwarobaini changamoto ya wafugaji hifadhi ya Sayaka

Mkuu wa Wilaya ya Magu, Mhe. Salum Kali amekutana na viongozi wa Chama na Serikali wa Wilaya hiyo kujadili mikakati ya kutatua changamoto ya wafugaji katika Hifadhi ya Sayaka Wilaya ya Magu. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi ya Mkuu…

Mawaziri nane wajadili utatuzi wa migogoro ya ardhi vijiji 975

Waziri Mabula Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Angeline Mabula ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri Nane wa Wizara za Kisekta kujadili utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza la Mawaziri kuhusiana na utatuzi wa migogoro ya matumizi…