Category: Siasa
Mengi: Fundisheni watoto kumcha Mungu
Kuwafundisha watoto kumcha Mungu ni dhana nzuri inayowajenga katika maadili ya kuwawezesha kufanikiwa maishani, amesema Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi.
Amefafanua kwamba kumcha Mungu kunamfanya mtoto kuwa mwema, mkweli na mwaminifu, tabia ambazo ni nyenzo muhimu katika kufikia mafanikio ya kiuchumi na kijamii.
“Ni jambo la msingi kwa mzazi kumwandaa mtoto aweze kufanikiwa maishani. Kumfundisha mtoto amweke mbele Mwenyezi Mungu kutamfanya awe mnyenyekevu, mkweli na mwaminifu ili hata akikopa arudishe, maana hakuna anayetaka kufanya biashara na mtu mwongo na anayejivuna,” amesisitiza.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Wahamiaji haramu waivamia Tanzania
*Wakongo, Wanigeria waongoza, wahusishwa wizi wa fedha benki, uuzaji dawa za kulevya
Wimbi la wahamiaji haramu linazidi kuitesa nchi, ambapo sasa raia wa Congo na Nigeria ndio wanaongoza kwa uhalifu huo.
Afisa Uhamiaji wa Mkoa wa Dar es Salaam, Grace Hokororo, ameithibitishia JAMHURI wiki iliyopita, akisema jitihada zaidi zinahitajika kukabili tatizo hilo.
- Bil. 67.507 kuimarisha sekta ya elimu sekondari Mkoa wa Lindi na Pwani
- Tanzania, Belarus zafungua ukurasa mpya wa ushirikiano
- Majaiwa akutana na Waziri Mkuu wa Belarus
- Rais mstaafu Msumbiji awasili Mtwara kumbukizi ya hayati Mkapa
- Maonyesho ya GEL yafungua milango ya mafanikio kwa wanafunzi wa Kitanzania
Habari mpya
- Bil. 67.507 kuimarisha sekta ya elimu sekondari Mkoa wa Lindi na Pwani
- Tanzania, Belarus zafungua ukurasa mpya wa ushirikiano
- Majaiwa akutana na Waziri Mkuu wa Belarus
- Rais mstaafu Msumbiji awasili Mtwara kumbukizi ya hayati Mkapa
- Maonyesho ya GEL yafungua milango ya mafanikio kwa wanafunzi wa Kitanzania
- Balozi Hamad akutana na Balozi wa Malawi, waweka mikakati ya ushirikiano
- Waziri Mavunde akagua maendeleo ujenzi wa jengo la ghorofa nane la TGC Arusha
- DC Mwakilema aipa kongole Muhimbili na Vodacom kwa huduma za matibabu Tanga
- Mafunzo ya uimarishaji mpaka kimataifa kuwajengea uelewa wataalam wa Tanzania na Burundi
- Rais Samia kuzindua bandari Kavu Kwala Julai 31
- Rais Samia atoa bilioni nne ujenzi kiwanda cha kuzalisha nishati mbadala
- Zanzibar yazindua mradi wa OCP School Lab Zanzibar
- Menejimenti AUWSA yaimwagia sifa TUICO, ni kwa kutoa mafunzo kwa wafanyakazi
- Mtoto ajinyonga baada ya kuiga maudhui ya chaneli ya KIX Arusha
- Polepole ni sikio la kufa…