JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Nyundo ya Wiki

Waziri Balozi Chana aishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana ameishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kwa jitihada inazofanya za kuishauri na kutoa maoni yanayoiwezesha Serikali kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo kupitia…

NMB yazindua ATM ya kubadili fedha za kigeni uwanja wa KIA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilimanjaro Benki ya NMB leo imezindua rasmi mashine ya kubadilisha fedha (Forex – ATM) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) yenye uwezo wa kubadili fedha za kigeni kwenda shilingi za Kitanzania. Hii ni hatua nyingine…

DAWASA yatenga trilioni 1.029/-kutekeleza miradi ya maji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia SERIKALI kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imetenga sh. trilioni 1.029 kutekeleza miradi ya maji 13 ya kimkakati katika mwaka wa fedha 2022/2023. Hayo yamesemwa leo Agosti 13,2022 jijini Dodoma na…

Telegramu yaitupia lawama Apple kwa kuicheleweshea huduma

Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Telegram, Pavel Durov, ameikaishifu Apple kutokana na mchakato wa kampuni hiyo wa kukagua duka la Programu (Apple Store) “usio wazi” ambao unaichelewesha Telegram kutoa sasisho (ku-“Update”) kwa programu yake ambayo “itabadilisha jinsi watu wanavyojieleza katika…

Fuatilia matokeo ya awali ya uchaguzi Mkuu Kenya

Shughuli ya kuhesabu kura inaendelea nchini Kenya huku karibia asilimia 90 ya matokeo yaliyokusanywa kutoka kwenye maeneo mbalimbali yanaonyesha wagombea wawili kati ya Raila Odinga na William Ruto kuchuana vikali. Tume ya Uchaguzi (IECB) ina siku saba za kutangaza mshindi…