Yametimia vigogo Dar

*Wakabidhiwa Takukuru kwa mahojiano  *JAMHURI yadhihirisha umahiri wake licha ya Mkurugenzi wa Jiji kutishia  kulishitaki kwa kuandika habari hiyo  DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hatimaye yametimia. Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuwasimamisha kazi vigogo wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kupisha uchunguzi wa tuhuma…

Read More

Wanyama albino wazua gumzo

*Pundamilia, nyati, twiga albino waonekana Tarangire, Katavi *Wananchi wafurahi, wadhani ni kivutio kipya cha utalii *Wataalamu wapinga, wadai kuna tatizo kubwa na la hatari MARA Na Anthony Mayunga Nyati mweupe ameonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na kuwa kivutio kwa wengi, wakidhani kuwa ni aina mpya ya wanyama inayopatikana eneo hilo pekee. JAMHURI…

Read More