JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Simba yanusa hatua ya makundi Ligi Mabingwa, yashinda 3-1

Klabu ya Simba imefanikiwa kuinyuka timu ya Primeiro de Agosto Fc kwa mabao 3-1 mchezo ambao ulipigwa kwenye nchini Angola hivyo nakuwa na faida kwa Simba ambaye atasubiri kucheza mchezo wa marudiano ili aweze kufuzu hatua ya makundi. Simba Sc…

Kagera Sugar yazinduka, yaichapa Polisi 2-0

Timu ya Kagera Sugar imezinduka na kupata ushindi wa kwanza wa msimu baada ya kuichapa Polisi Tanzania mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Mabao ya Kagera Sugar…

Yanga yalazimishwa sare na Al Hilal 1-1

Wenyeji, Yanga SC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Al Hilal Omdurman ya Sudan katika mchezo wa kwanza wa Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Yanga walitangulia kwa…

Tembo Warriors yaendelea kuishangaza dunia

Na John Mapepele,JamhuriMedia Kikosi cha Tembo Warriors kimeendelea kuishangaza dunia kwa kuibamiza vibaya timu kali ya Japan katika mashindano ya Kombe la Dunia kwa Watu wenye ulemavu yanayoendelea nchini Uturuki. Waziri mwenye dhamana ya michezo nchini,Mohamed Mchengerwa na Katibu Mkuu…

Tanzania yashinda dhidi ya Uzebekistan 2-0

Tanzania yashinda dhidi ya Uzbekistan kwa goli 2-0 kwenye mechi iliyochezwa leo Oktoba 3, 2022 nchini Uturuki. Kwa matokeo hayo Tanzania inasubiri mchezo kati ya Poland na Hispania utakaochezwa majira ya saa 12:00 jioni, huo ndio mchezo utakaoamua nani kati…

TAMISEMI Queens yaanza vyema mchezo wa kuvuta kamba SHIMIWI

TAMISEMI Queens wameanza vizuri mechi yao ya mchezo wa kuvuta kamba kwa kuwashinda pointi 2-0 Wizara ya Mambo ya Nje katika mshindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yanayoendelea Jijini Tanga. Mechi hiyo iliyochezwa…