Category: Makala
Tumechezewa, tumechakachuliwa, sasa yatosha
“Mmetuchezea vya kutosha, muda sasa umekwisha. Mmetuchakachua vya kutosha, muda wa kuchakachuana umekwisha. Nataka iwe kazi tu…” Ni baadhi ya maneno yaliyotamkwa na Rais John Pombe Magufuli, alipokuwa anazindua Bunge la Muungano la Tanzania la 11 Ijumaa, Novemba 20, 2015,…
Tunajaribu kutabiri yasiyotabirika
Baada ya uchaguzi wa Rais John Magufuli, mada iliyotawala mazungumzo maeneo mengi ya Tanzania ilikuwa nani atateuliwa kuwa Waziri Mkuu. Juma lililopita nilikaa kwenye mazungumzo ya aina hiyo na wanakijiji wenzangu na majina mengi yalitajwa. Majina mengi hayakupewa nafasi hata…
Hati ya nyumba yako inapoharibika au kuchakaa
Hati kwa maana ya hapa ni hati za nyumba na viwanja, kwa ufupi ni hati za ardhi. Kwa kuwa hati ni karatasi sawa na karatasi nyingine basi huweza kuharibka au kuchakaa. Huweza kuchakaa kwa sababu mbalimbali za kibinadamu. Inaweza kunyeshewa…
Barua ya kiuchumi kwa Magufuli
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, nakusalimu kwa salamu za heshima. Salamu hizi zinakujia kutoka kwangu mwananchi mwaminifu kwa nchi yangu ambaye nimeamua kukupa mkono wa shirika katika eneo la kuujenga uchumi. Baada ya…
TEWUTA walilenga kuipotosha TTCL
Novemba 10, 2015 Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Mawasiliano Tanzania (TEWUTA) kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Junus Ndaro, walizungumza na vyombo vya habari. Katika mazungumzo hayo, TEWUTA ilitoa salamu za pongezi kwa ushindi wa Rais…
TAWA: Isiwe tu kulinda wanyamapori
Kwanza niipongeze Wizara ya Maliasili na Utalii na hasa Idara ya Wanyamapori, kwa kuanzisha Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania inayojulikana kwa Kiingereza kama Tanzania Wildlife Management Authority (TAWA). Kuna sababu kadhaa za kuipongeza Wizara na Idara kwa kuanzisha TAWA,…