Category: Makala
Yah: Apa utatekeleza ahadi zangu ndani ya miaka mitano
Jamani, maisha yanaendelea baada ya uchaguzi. Tanzania imekuwa nchi ya kuangaliwa na mataifa mengi duniani hasa kutokana na sifa kubwa ya kuwa kisiwa cha amani. Tanzania inatazamwa na wenye dhamira mbaya ya kutaka tuingie katika machafuko ili waweze kuchota kilicho…
Tumefunga mkataba wa mabadiliko
Juzi Jumapili Oktoba 25, mwaka huu, Watanzania tulifunga mkataba wa mabadiliko kati yetu (wapigakura) na wagombea uongozi nchini (madiwani, wabunge na rais) kutuongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo; 2015-2020. Mkataba huo muhimu unabeba dhana ya mabadiliko yenye kusudio la…
Watanzania na utii wa sheria
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alfred Tibaigana, aliwahi kusema: “Asilimia 98 ya Watanzania hawaheshimu sheria.” Alinukuliwa na mojawapo ya vyombo vya habari. Ukitafakari matamshi haya kwa haraka haraka unaweza kusema kuwa ni taarifa ambayo haishabihiani…
Soko linahitaji misuli kupambana
Nimekuwa nikipata mgogoro wa ndani kila ninapohudhuria promosheni za bidhaa mbalimbali, ninaposoma ama kutazama matangazo ya kibiashara katika vyombo mbalimbali vya habari na vile vinavyotumika kimatangazo. Kwenye nyingi ya bidhaa, promosheni ama matangazo hayo huwa ninakutana na taswira pamoja na…
Helikopta zinavyowaliza Watanzania
Maelfu ya Watanzania, ndani na nje ya nchi wameendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe (43), aliyefariki dunia pamoja na watu wengine wanne katika ajali ya helikopta iliyotokea wiki iliyopita. Pamoja na Filikunjombe, wengine waliofariki dunia ni…
Dhana ya mabadiliko (2)
Serikali tunayoihitaji ijayo ilete matulizo kwa hayo yaliyotokea hapa nchini. Watu wajaliwe, waheshimike na wapate kupiga hatua mbele ya hapa walipo. Kwa kutokuwa na uti wa mgongo wa utawala – UTUMISHI WA UMMA mzuri kama hapo zamani hitaji la utawala…