Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame Mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Kigali nchini Rwanda. Post Views: 23 Post navigation Waziri wa Mambo ya Nje Norway awasili nchini kwa ziara Masauni kikao cha kamati ya Bunge Dodoma