Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akitembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kaskazini Unguja tarehe 17 Januari, 2024. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akiweka Jiwe la Ufunguzi wa Tawi la CCM Chaani Masingini Mkoa wa Kaskazini Unguja wakati alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tarehe 17 Januari, 2024. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa Jengo la Chuo cha Wajasiriamali Wanawake (UWT) Mkoa wa Kaskazini Unguja wakati alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tarehe 17 Januari, 2024. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Wananchi wa Chaani mara baada ya kuweka Jiwe la Ufunguzi wa Tawi la Chama cha Mapinduzi (CCM) Chaani Masingini Mkoa wa Kaskazini Unguja wakati alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tarehe 17 Januari, 2024. Post Views: 70 Post navigation Waziri Mkuu aongoza kikao cha 10 cha Kamati ya Kitaifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 Taasisi za umma Kongwa zahimizwa kuwa na mipango ya matumizi ya ardhi