JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Biteko akutana na menejimenti NMB

#Awaasa kusaidia miradi ya uwekezaji nchini hususan sekta ya umeme # NMB yaipongeza Serikali kwa kuwa na Uchumi imara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Dkt. Doto Biteko leo tarehe 24 Novemba, 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti ya…

Tahadhari inapunguza athari za El Nino

Na Stella Aron, JamhuriMedia Dunia kwa sasa inakabiliwa na mabadiliko yua tabia nchi na kuwepo kwa madhara ambayo tayari kwa Bara la Afrika yamenza kuonekana. Ulimwengu umeingia rasmi katika kipindi cha El Nino, kulingana na Shirika la Sayansi la Marekani…

Dk Biteko akutana na balozi wa China nchini Tanzania

✅Akaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian ambapo walizungumza masuala mbalimbali…

Wanafunzi shule za St Mary’s wafaulu kwa alama A

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shule za St Mary’s nchini zimeendelea kufanya vizuri kwenye mitihani ya darasa la saba kwa wanafunzi wake kupata wastani wa alama A kwenye matokeo yao. Katika matokeo yaliyotangazwa jana na Baraza la Taifa…

Pinda : Mamlaka za upimaji shirikianeni na Wizara ya Ardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imezitaka taasisi zilizopewa mamlaka ya upimaji kuhakikisha zinashirikiana na Wizara ya Ardhi pale zinapokwenda uwandani ili kusaidia kuondoa migogoro inayoweza kuanzishwa kutokana na kutojua uhalisia wa mipaka. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Ardhi…

Dk Kisenge : Leteni wagonjwa wa moyo JKCI msiwapeleke nje ya nchi

Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Madaktari nchini wameombwa kuwapeleka wagonjwa wenye matatizo ya moyo  katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya matibabu na siyo nje ya nchi kwani Serikali imewekeza vya kutosha katika vifaa tiba…