Latest Posts
Mradi wa Usanifu wa bwawa la Farkwa wasainiwa, litajaza maji lita milioni 440
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maji imesaini mkataba wa mwaka mmoja na Kampuni ya SU-YAPI Engineering Consulting Inc. kwa ajili ya kufanya kazi ya usanifu wa ujenzi wa bwawa la Farkwa litakalojengwa katika Wilaya ya Chemba, ambalo litanufanisha…
Tanzania inathamini ushirikiano kati yake na Qatar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo terehe 23 Oktoba 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania Fahad Rashid Al-Muraikhi, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Katika Mazungumzo hayo Makamu…
Madaktari wa watoto MNH waongezewa ujuzi matumizi ya ultrasound maalum
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Taasisi ya German Society for Tropical Paediatric and International Child Health (GTP) imeendesha mafunzo maalumu ya matumizi ya mashine ya Ultrasound maalumu kwa wataalamu wanaohudumia watoto….
Serikali kuendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Idara ya Menejimenti ya maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu imeendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa masuala ya maafa nchini ili kuendelea kuwa na mikakati thabiti ya kukabiliana na maafa…