JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ummy:Mgao upya wa madaktari bingwa kupunguza changamoto ya huduma

Na Mwandishi Wetu, JamahuriMedia ,Dodoma Waziri wa afya Ummy Mwalimu amebainisha kuwa,katika kukabiliana na changamoto ya upungufu wa madaktari bingwa katika baadhi ya hospitali za Rufaa za Mikoa, Wizara imelenga kugawa upya madaktari bingwa waliopo katika hospitali ili kukabiliana dhidi…

Rais Samia awataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hajjat.Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu iliyopo Nchini ili kutoa fursa kwa Serikali kuweza kuwaletea maendeleo wananchi wake. Rais Dkt. Samia aliyasema hayo katika Salamu zilizotolewa kwa niaba…

Bunge lapitisha bajeti ya ofisi ya Rais-TAMISEMI trilioni 9.1

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),Tume ya Utumishi wa Waalimu, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 shilingi Trilioni 9.1…

Kamati kutathmini utekelezaji wa diplomasia ya uchumi yaanza kazi rasmi

Kamati iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Samia Suluhu Hassan kutathimini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeanza kazi rasmi kwa kukutana na Waziri wa Wizara hiyo,Dkt. Stergomena Tax jijini…

Kanisa Mlima wa Moto waendeleza maono ya Hayati Dk.Rwakatare

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Askofu Mkuu wa Kanisa la Mlima wa Moto, Mikocheni jijini Dar es Salaam, Bishop Rose Mgeta amesema Kanisa hilo litaendelea kutekeleza maono ya Mwanzilishi wa Kanisa hilo, Hayati Askofu Dk Getrude Rwakatare kutimiza maono yake kama…

Biteko:Tusigawanyike katika dini zetu

Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe ameshiriki katika Futari na baadhi ya wakazi wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita Aprili 18, 2023. Akizungumza katika hafla hiyo Dkt.Biteko amewataka wananchi wa Bukombe kuungana…