Latest Posts
Polisi wakamata bastola ikiwa na risasi 71
Na Mwandishi Wetu-Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linaendelea na operesheni maalumu ya kuwasaka watu wanaojihusisha na uhalifu ambapo kupitia operesheni hiyo pamoja na taarifa toka kwa wananchi tumefanikiwa kukamata bastola moja aina ya CZ 75 LUGER…
Mvua ya upepo mkali yaezua mapaa Njombe,
Wakazi zaidi ya tisa wa Kijiji cha Ngelenge kilichopo katika Kata ya Ruhuhu wilayani Ludewa mkoani Njombe wamekosa makazi baada ya mvua zilizoambatana na upepo zinazoendelea kunyesha mkoani hapa na kubomoa baadhi ya nyumba. Mtendaji wa kata hiyo Yusuph Lukuwi…
ZFDA yalifungia ghala la kuhifadhi chakula
Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) wamelifungia ghala iliyokua ikihifadhi bidhaa mbalimbali ikiwemo mchele kutokana na ghala hiyo kukosa sifa za kuhifadhia bidhaa hizo. Akizungumza wakati wa ukaguzi wa kushtukiza kuangalia usalama wa chakula,na uhalali wa uwepo wa ghala…
MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA; Ilivyochangia kuongeza usahihi wa utabiri TMA
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Katika kipindi cha miaka miwili ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ilitenga fedha kiasi cha shilingi bilioni 50 katika bajeti ya maendeleo kwa ajili…