JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sagini aagiza kufuatilia mienendo utendaji kazi wa askari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,MoHA Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini ameviagiza Vyuo vya Polisi nchini kuupitia mtaala wa mafunzo ili kujua kwa kiwango gani unajaribu kugusa changamoto mbalimbali zinazoonekana katika utekelezaji wa kazi za Maafisa na Askari…

Serikali yatoa vishikwambi 270 kufundishia elimu ya uzaji/VVU

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Singida MKUU wa Wilaya ya Singida,Mhandisi Paskas Mragili, amezitaka shule za msingi na sekondari wikayani hapa kujipanga kuingia katika mfumo wa ufundishaji kwa njia ya kidigitali kwa kuwa mpango wa serikali ni kutaka utendaji wote uwe unafanyika kidigitali….

Serikali kuendelea kutekeleza miradi pande zote za Muungano

Serikali imesema itaendelea kutafuta fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya kukabiliana na athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa pande zote mbili za Muungano. Hayo yamesemwa jana na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Switbert Mkama alipofanya…

Asilimia 17 ya umeme unapotea kinyemela Zanzibar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia ASILIMIA 17 ya umeme unaopotea Zanzibar kutokana na baadhi ya watu kuunga umeme kinyume na sheria hali ambayo inapelekea nchi kukosa mapato. Waziri wa Maji,Nishati na Madini Shaibu Kaduara amesema wanaotumia umeme kinyume na Sheria ni kosa…

Dkt.Nchemba afanya ziara ya kushtukiza soko la Kariakoo

Na Benny Mwaipaja,JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameiagiza mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutatua changamoto mbalimbali za wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo ili kuchochea biashara katika soko hilo linalotegemewa na wafanyabiashara…

Majaliwa: Tutaendelea kuondoa changamkto sekta ya nishati

Majaliwa: Tutaendelea kuondoa changamkto sekta ya nishati WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia kikamilifu sekta ya nishati nchini ili kuondoa changamoto mbalimbali zitokanazo na sekta hiyo….