Latest Posts
Zitto: Harakati lazima ziendelee
*Atangaza ‘Baraza Kivuli la Mawaziri’ nje ya Bunge Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na mwanasiasa maarufu nchini, Zitto Kabwe, amesema wananchi wanahitaji kupata hoja mbadala. Akizungumza na wahariri na wanachama wa Jukwaa la…
Huku Simba, kule waamuzi
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita niliamka na vitu viwili kichwani mwangu. Kwanza, niliamka na kitu kinachoitwa Simba; kisha nikaamka na kitu kinachoitwa waamuzi wa soka waliopo sasa nchini Tanzania. Leo ninajiuliza kati ya haya mawili tuanze na…
Ma-DED wasitenguliwe tu, wachukuliwe hatua zaidi
Februari 4, mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya za Buchosa, Iringa, Mbeya na Singida Mjini kwa matumizi mabaya ya fedha za miradi ya maendeleo na upotevu wa mapato katika halmashauri hizo….
MIRABAHA… Mwanzo mzuri, sanaa nyingine zifikiriwe
Dar es Salaam Na Christopher Msekena Mamia kwa maelfu ya wasanii wa muziki nchini wameufungua mwaka 2022 kwa kicheko wakipokea gawio (au mirabaha) ya kazi zao kutoka serikalini kupitia Chama cha Hakimiliki (COSOTA). Katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar…
Korea Kaskazini yajaribu makombora
Pyongyang Korea Kaskazini Korea Kaskazini imeonyesha picha inazodai kuwa zimechukuliwa kutoka katika jaribio lao la kurusha kombora lenye nguvu kubwa zaidi kuwahi kufanyika katika kipindi cha miaka mitano. Picha hizo ambazo si za kawaida zimechukuliwa kutoka anga za mbali zikionyesha…
Mabadiliko makubwa mizani
*Malori ya mafuta yapunguziwa mizani *Hakuna kupima bandarini, yabakizwa 3 *Hofu ya mapato yaibuka, Waziri anena NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imefuta utaratibu wa malori ya mafuta yanayokwenda nje ya nchi kupimwa…





