Latest Posts
Waziri Mkuu awataka mabalozi wahamasishe uwekezaji
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali waweke msisitizo katika utekelezaji wa diplomasia ya uchumi na kuhamasisha zaidi upatikanaji wa masoko wa bidhaa za ndani na uwekezaji. Amesema kuwa maboresho ya sera na mfumo wa uwekezaji…
Waliovamia msitu wa Bondo watakiwa kuondoka
Wananchi waliovamia Hifadhi ya Msitu wa Bondo wametakiwa kuondoka ndani ya hifadhi hiyo ifikapo Desemba 30,2022. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii, alipokuwa akijibu swali la mbunge…
Global Fund yaunga mkono Serikali kukabiliana na magonjwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu amekutana na kufanya mazungumzo na Meneja Mkaguzi kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Kupiga Vita UKIMWI, TB na Malaria (GLOBAL FUND), Andrew Hammond ofisini kwake jijini…





