Latest Posts
Serikali kuhamia Dodoma muhimu
Wiki iliyopita Rais John Pombe Magufuli, ambaye sasa ni Mwenyekiti wa CCM ametoa ahadi nzito kuwa atahakikisha Serikali inahamia Dodoma katika kipindi cha miaka minne ijayo. Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo katika Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),…
Dk. Jane asimulia Sokwe wa Gombe
Jumanne Rashid ambaye mwaka 1960 alikuwa kijana mdogo, alikuwa Gombe, alimsaidia Dk Jane Goodal katika kutoa mizigo kwenye meli na kuandaa kambi kando ya Ziwa Tanganyika kwa ajili ya utafiti, kama ilivyoandikwa katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita. Dk….
Taasisi ya Moyo: Tumaini kwa Watanzania
Miaka kumi iliyopita Serikali imetumia Sh bilioni 2.5 kupeleka wagonjwa wa moyo kutibiwa nje ya nchi, hasa nchini India. Takwimu kutoka Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, zinaonyesha kuwa kati ya Januari mpaka Juni 2016, Serikali…
Wasifia kituo cha Mwendokasi
WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam wanaotumia kituo cha Mabasi cha Gerezani, Kariakoo kilichopo Wilaya ya Ilala wamevutiwa na mazingira bora ya kituo hicho, na baadhi wamependekeza magari ya mwendokasi yaende Mbagala, Ukonga, Mwenge na Buguruni. Wameitaka Serikali kuendelea…
“TUEPUKE SUMU HIZI”
Watanzania, ni watu wa amani, ni watu tunaojaribu sana kuishi kindungu na tuwatulivu. Kwa maana hiyo, nchi yetu imejipatia sifa moja nzuri sana. Tanzania inaitwa kisiwa cha amani humu barani Afrika. Ulimwengu unakiri hilo na tunastahili kujivunia hali hiyo. Nchi…
Uongozi wa Awamu ya Tano na hatima ya nchi yetu
Katika kijitabu chake kidogo “Tujisahihishe” alichokiandika Mei 1962, Baba wa Taifa, Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwaonya viongozi na wananchi juu ya madhara ya ubinafsi kwa nchi changa kama Tanzania iliyodhamiria kuleta…