Latest Posts
SERIKALI YA UINGEREZA YAFUATA NYAYO ZA JPM KATIKA MUSTAKABALI WA PASIPOTI ZA KIELETRONIKI
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Aliance News imesema kuwa kampuni ya De La Rue ilikuwa na mkataba na Uigereza wa miaka 10 lakini nchi hiyo imeamua kuvunja mkataba kati yake na kampuni hiyo. Imefahamika lengo la Serikali…
HABARI NAOMBA MPOKEE PICHA NA STORI YA MSTHIKI MEYA WA JIJI
Meya Mwita azitaka halmshauri za jiji la Dar es Salaam, kuajiri watumishi kwa ajili ya kuzika watu wasiokuwa na ndugu. MSTAHIKI Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita amezitaka halmashauri zote jijini hapa kuajiri watumishi ambao watakuwa wanafanya…
Dunia yapaza sauti kudhibiti tumbaku
Na Mashaka Mgeta, Afrika Kusini Takwimu za Shirika la Afya (WHO) zinaonesha kuwa takribani watu milioni 7 wanakufa kila mwaka ulimwenguni hasa katika nchi masikini ikiwamo Tanzania na zenye uchumi wa kati kwa sababu ya matumizi ya bidhaa zinazotokana na…
Agizo la JPM laibua mzozo Pwani
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Hofu imetanda kuhusu hatua ya uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, kutoa ekari 1,000 kati ya 5,900 za shamba la kampuni ya United Farming (UFC) lililopo Mlandizi mkoani Pwani zilizofutwa na…
Dawasco ilivyojipanga kuondoa kero za maji Dar na Pwani
Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita, imezinduliwa wiki ya maji hapa jijini Dar es Salaam, maadhimisho hayo yameanza Machi 16 na kuhitimishwa Machi 22, katika uzinduzi huo uliohusisha mikoa ya Pwani na Dar es Salaam, viongozi kadhaa walitoa hotuba, kutokana na…





