Latest Posts
Adha ya ‘Double allocation’ (2)
Ndipo akateuliwa Jaji Mihayo kuisikiliza. Huyu naye alianza kuisikiliza upya. Kesi imenguruma kwa Jaji Mihayo kuanzia tarehe 01/12/2006, ikaendelea tarehe 13/04/2007, 26/06/2007, 10/07/2007, 02/11/2007. Kutokana na maombi ya wavamizi kwa Jaji Mihayo barua Kumb. Na. Mushy/A58/LND ya tarehe 03 Julai…
Ukosefu wa ajira ni matokeo ya akili zetu
Mjadala wa ukosefu wa ajira unazidi kushamiri. Ndiyo, tatizo la ajira lipo na bila shaka litaendelea kuwapo; si kwa Tanzania tu, bali kwa mataifa mengi duniani. Nchi kama ilivyokuwa Libya, kwao tatizo la ajira lilikuwa dogo. Hali hiyo ilitokana na…
Yah: Niamshwe kukicha kama kweli nimelala
Inawezekana huwa sipati usingizi, ninaota huku nikiwa macho makavu lakini naamini ninachokiona katika njozi zangu kina nasaba na ndoto ya maisha halisi yanayonigusa mimi na Watanzania wengine wengi. Hii ndiyo Tanzania hata kama ni ya ndoto lakini ndiyo Taifa langu…
Chama ni mali ya wanachama
Mimi ni miongoni mwa baadhi ya wananchi wanaotoa heko na kongole kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli, na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kwa kufanya mabadiliko ya muundo na uongozi wa chama hicho…
Nyenzo muhimu ya kuongeza kasi ya maendeleo ni kurudi kijijini
Katika siku za hivi karibuni, nimekuwa nakumbuka wimbo niupendao wa gwiji la muziki, Ramadhani Mtoro Ongala ‘Dk Remmy’, ‘Narudi nyumbani’. Aliimba kuwa anarudi Songea, anarudi Mlale, anarudi kijijini kwa sababu maisha ya Dar es Salaam yamemshinda, akikiri kuwa nyumbani ni…
Siku sita za kupanda Mlima Kilimanjaro
Wakati Rais John Magufuli akikagua gwaride la maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru, kundi la wanahabari, askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na wanadiplomasia walikuwa kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Safari hiyo ilianza mapema Desemba…