JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Idi Amin katuletea vita na mshikamano

Siku kama ya leo, miaka 38 iliyopita, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), likishirikiana na wapiganaji wa Uganda waliokuwa wanapambana dhidi ya majeshi ya Uganda waliteka Jiji la Kampala na kusambaratisha majeshi ya Idi Amin. Serikali ya Amin…

Soko la pamoja EAC bado tatizo

Wakati idadi ya wananchi ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inasadikiwa kufikia watu milioni 160, baadhi ya mikoa iliyounganishwa katika miundombinu ya barabara inashindwa kulifikia soko hilo. Baadhi ya mikoa hiyo ni pamoja na Singida, mkoa unaozalisha alizeti pamoja…

Miaka minane ya kifo cha Michael Jackson

Juni 25, mwaka huu, itakuwa imetimia miaka minane tangu Michael Jackson ‘Wacko Jacko’ alipoiaga dunia. Alikuwa ni mwanamuziki mwenye vipaji vingi kutoka nchini Marekani. Alifahamika zaidi kwa jina la heshima la ‘Mfalme wa Pop’. Michael alitambulika kama mburudishaji aliyepata mafanikio…

Kocha wa kuogelea alete manufaa

Ujio wa kocha wa mchezo wa kuogelea, Sue Purchase, kutoka Shule ya Kimataifa ya Mtakatifu Felix ya Uingereza, unatarajiwa kurejesha ari ya mchezo huo ambao umeanza kupotea nchini katika miaka ya hivi karibuni. Kocha huyo raia wa Uingereza, amekuja nchini…

Kilichomponza Nape

Duru za siasa kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, zimeanza kutaja chanzo cha aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, kupoteza wadhifa huo. Vyanzo mbalimbali vinaonesha kuwa vumbi la Uchaguzi Mkuu la Mwaka 2015 bado linaendelea kutimka ndani…

Kigogo Ushirika kizimbani utakatishaji fedha

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU), Maynard Swai, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Arusha na Arumeru, jijini Arusha akishitakiwa kwa kosa la utakatishaji wa fedha. Swai, ambaye pia ni mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Wakulima…