Latest Posts
Makosa matatu yanayomkabili Mhandisi aliyekamatwa kwa agizo la Rais
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya MNM Engineering Service Ltd, Mhandisi Godwin Mshana aliyejenga ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Mkwawa (MUCE) cha mjini Iringa amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka matatu yanayomkabili, likiwamo shtaka la uhujumu uchumi. Mhandisi huyo alifikishwa…
Sikiliza Nyimbo mpya ya Ali Kiba “Mvumo wa Radi”
Msanii Ali Kiba ameachia video ya wimbo mpya unaojulikana kwa jina la Mvumo wa Radi
Chombo cha Satelaiti kilichoundwa Kenya kitarushwa katika anga za juu leo kutoka Japan
Wanasayansi wa anga za juu kutoka Kenya waliokiunda chombo hicho tayari wako katika makao ya Uchunguzi wa Sayansi ya Anga za juu nchini Japan, (JAXA) ambapo chombo hicho kitarushwa kutoka huko. Nchini Kenya kwenyewe raia wataweza kufuatilia shughuli hiyo moja…
MAJALIWA:TUPO TAYARI KWA FAINALI ZA AFCON 2019
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ipo tayari kwa maandaalizi ya fainali za michuano ya Afrika ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 mwaka 2019. Mashindano ya mpira wa miguu kwa Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 AFCON…





