Latest Posts
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Ujumbe wa Pluijm uzingatiwe
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Hans Van Der Pluijm, ametema nasaha nzito kwa timu hiyo, ambazo zinastahili kuzingatiwa pia na klabu nyingine za soka hapa Tanzania. Akizungumza katika hafla ya kumuaga…
Mameneja Tanesco wanolewa kuhusu Mazingira
Kutokana na upungufu wa umeme unaoikabili nchi yetu ya Tanzania, tunategemea kuwa uwekezaji katika sekta ya nishati utaongezeka, hivyo kuibua changamoto nyingi za kimazingira, kiuchumi na kijamii.
Haya yamebainishwa na Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mazingira Wizara ya Nishati na Madini, Gedion Kasege, hivi karibuni wakati akifungua semina ya siku tano iliyowahusisha mameneja wa Tanesco nchini ili kujifunza masuala ya uhifadhi wa mazingira (Strategic Environmental Impact Assesment), utwaaji wa ardhi, Sheria ya Mazingira na masuala ya jinsia katika sekta na jinsi ya kukabiliana nayo kuweza kufikia maendeleo endelevu ya kiuchumi na kijamii.
- Marekani yaharibu meli inayodaiwa kuwa ya dawa za kulevya ya Venezuela
- Israel yaanza operesheni ya ardhini Gaza City
- Dk Biteko amnadi Musukuma, asema amepigania maslahi ya wana-Geita
- Mama Salma: Njia pekee kuthamini kazi kubwa aliyofanya Dk Samia ni kumpa kura, Ridhiwan kiongozi mwenye dira
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 16 – 22, 2025
Habari mpya
- Marekani yaharibu meli inayodaiwa kuwa ya dawa za kulevya ya Venezuela
- Israel yaanza operesheni ya ardhini Gaza City
- Dk Biteko amnadi Musukuma, asema amepigania maslahi ya wana-Geita
- Mama Salma: Njia pekee kuthamini kazi kubwa aliyofanya Dk Samia ni kumpa kura, Ridhiwan kiongozi mwenye dira
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 16 – 22, 2025
- Kufufuliwa kwa reli ya TAZARA, ujenzi wa reli kusini utaleta mageuzi makubwa kiuchumi
- Trump asema yuko tayari kuiwekea vikwazo Urusi
- WHO: Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa kusini mwa Kongo
- Luhaga Mpina aondolewa katika orodha ya wagombea urais 2025
- Mpina ajibu mapingamizi yake, amwekea pingamizi mgombea wa CCM Dk Samia
- Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk Samia atua Zanzibar,
- Mgombea udiwani Kata Tandika kwa tiketi ya CCM ahaandi kushughulikia kero ya michango shuleni
- Bilioni 51/- za mradi wa TACTIC kuongeza thamani ya Jiji la Mbeya
- Wajasiriamali waliomba dawati maalum la uwezeshaji TRA kuwa mwarobaini wa kero zao
- Kingu awaombea kura za wagombea wa CCM Jimbo la Songea Mjini