KitaifaRais Samia afunga mafunzo ya awali ya askari wa Uhamiaji Jamhuri2 years ago02 mins Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Hamad Masauni kabla ya kufungua Mafunzo ya Awali Kozi Na. 1,2022 ya Jeshi la Uhamiaji katika Hafla iliyofanyika Chuo cha Uhamiaji Boma Kichakamiba Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga tarehe 15 Agosti, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipanda mti mbele ya Jengo la Ofisi za Chuo cha Jeshi la Uhamiaji Boma Kichakamiba Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, alipowasili Chuoni hapo kwa ajili ya kufunga Mafunzo ya Awali ya Askari 820 wa Jeshi la Uhamiaji tarehe 15 Agosti, 2022 ais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi na Askari wahitimu wa Mafunzo ya Awali Kozi Na. 1,2022 ya Jeshi la Uhamiaji pamoja na Wananchi katika Hafla ya Ufungaji wa Mafunzo hayo iliyofanyika katika Chuo cha Uhamiaji Boma Kichakamiba Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga tarehe 15 Agosti, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria kuweka Jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Chuo cha Mafunzo ya Jeshi la Uhamiaji Boma Kichakamiba Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga tarehe 15 Agosti, 2022 Post Views: 26 Post navigation Previous: Wananchi watakiwa kutunza misitu ilete fursaNext: Rais Mwinyi azungumza na madaktari wa Korea
Waziri Riziki : Wanawake Tanzania wamewezeshwa manunuzi ya umma kielektroniki Jamhuri3 days ago3 days ago 0
Mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India Jamhuri6 months ago6 months ago 0