Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
February 18, 2024
Habari Mpya
Rais Samia ahudhuria hafla ya uzinduzi wa Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius .K. Nyerere Ethiopia
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia ahudhuria hafla ya uzinduzi wa Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius .K. Nyerere Ethiopia
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Viongozi mbalimbali wakati wakielekea kwenye hafla ya uzinduzi wa Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyopo katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali katika uzinduzi wa Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ameshika utepe pamoja na viongozi mbalimbali wakati Rais wa Zambia Hakainde Hichilema akikata utepe huo kuashiria uzinduzi wa Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali katika uzinduzi wa Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2024.
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi mara baada ya uzinduzi wa Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2024.
Post Views:
212
Previous Post
Prof. Mdoe apongeza walimu wakuu 369 kupata mafunzo ya uongozi
Next Post
Watano wafariki wakati wakivuka mto Ruvuma
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Wakuu wa Polisi EAC wajadili uhalifu uliovuka mipaka
Rais Dkt. Samia ateta na Baraza la Mawaziri Zanzibar
Jenerali Mkunda awavisha nishani mbalimbali majenerali Zanzibar
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
Habari mpya
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Wakuu wa Polisi EAC wajadili uhalifu uliovuka mipaka
Rais Dkt. Samia ateta na Baraza la Mawaziri Zanzibar
Jenerali Mkunda awavisha nishani mbalimbali majenerali Zanzibar
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
Bwana harusi acharuka
Chad, Jamhuri ya Afrika ya Kati wataka kuunda kikosi mseto cha usalama mpakani
Kuelekea Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini 2024,
Injinia Hersi anyakua tuzo Afrika
Ujenzi bomba la mafuta ghafi la EACOP wafikia asilimia 43.5
Wadau wa kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua za msimu 2024/25
DRC: M23 wadhibiti tena mji wa Kalembe, mashariki mwa nchi
Samia Kalamu Awards yasogezwa mbele hadi Oktoba 30
Bashungwa amkalia kooni mkandarasi CRSG anayetekeleza ujenzi wa barabara Nyamwage – Utete
Shule ya Kata yaweka historia katika TEHAMA