Katika picha chini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) ya Uchumi kutoka kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki Profesa Necdet Unuvar kwenye hafla iliyofanyika Chuoni hapo tarehe 18 Aprili, 2024. Post Views: 108 Post navigation Benki ya Akiba yazindua rasmi huduma ya kadi za visa Picha mbalimbali Waziri Mkuu akiwa bungeni