Habari MpyaRais wa DRC Tshisekedi aondoka nchini Jamhuri1 year ago1 year ago02 mins Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsindikiza mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo, kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam baada ya kukamilisha ziara nchini Tanzania tarehe 24 Oktoba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo, kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam baada ya kukamilisha ziara yake Tanzania tarehe 24 Oktoba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo, wakisalimiana na Viongozi mbalimbali kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam wakati Rais Tshisekedi alipokuwa akiondoka baada ya kukamilisha ziara yake Tanzania tarehe 24 Oktoba, 2022. Post Views: 14 Post navigation Previous: Rais Samia atengua uteuzi wa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa PolisiNext: Majaliwa kukutana na wamiliki wa makampuni makubwa Korea Kusini
Mbunge Rweikiza awahakikishia wananchi kupata maji, ampa tano rais Samia Jamhuri6 hours ago6 hours ago 0