JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: Padre Dk Faustin Kamugisha

Mafanikio yoyote yana sababu (15)

Na Padre Dk. Faustin Kamugisha   Neno la kutia moyo ni siri ya mafanikio. “Neno la kutia moyo kutoka kwa mwalimu linabadilisha maisha ya mwanafunzi. Neno la kutia moyo kutoka kwa mwenza, linaokoa ndoa.” alisema John Maxwell (Kiongozi wa kidini…

Mafanikio yoyote yana sababu (13)

Padre Dk Faustin Kamugisha Kujiamini ni sababu ya mafanikio. “Kujiamini! Kujiamini! Kujiamini! Huo ni mtaji wako,” alisema John Wanamaker. Kujiamini ni raslimali yako. Safari kuelekea kwenye jiji la mafanikio inahitaji mafuta yanayoitwa kujiamini. Uwezekano wa kushinda unazidi hofu ya kushindwa….

Mafanikio yoyote yana sababu (10)

Padre Dk Faustin Kamugisha Kutoa ni sababu ya mafanikio. Mtu anaweza kufilisika si kwa sababu anatoa bali kwa sababu hatoi. Asiyepoteza haokoti. Kwamba kutoa ni sababu ya mafanikio, jambo hili limethibitishwa na watu wengi. “Mtu mwenye busara haweki hazina kwa…