JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: TFF

TFF YAONGEZA MPUNGA KWA BINGWA WA KOMBE LA FA

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeongeza zawadi ya mshindi wa Kombe la Shirikisho ‘Azam Sports Federation Cup’ ili kuzidi kuongeza hamasa ya mashindano hayo. Kwa mujibu wa Afisa Habari wa Shirikisho hilo, Clifford Ndimbo, amesema kuwa zawadi ya mshindi wa…

Ajira za upendeleo TFF

NA MICHAEL SARUNGI Uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) umeingia katika tuhuma za kutoa ajira kwa baadhi ya wafanyakazi wake bila kufuata kanuni na taratibu za ajira. Tuhuma hizo zimetolewa wakati Shirikisho likiwa katika mgogoro na aliyekuwa…

TFF itumie vyema fursa ya FIFA

DAR ES SALAAM NA MICHAEL SARUNGI Ujio wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, hapa nchini unaweza kuwa na matokeo mazuri katika soka la nchi hii endapo viongozi watakuwa na utashi wa kutenda. Wakizungumza na…

MTWAREFA YAOMBA RADHI WADAU WA SOKA-MTWARA.

Kutokana  na Kamati ya Maadili Kuwakuta na Hatia Viongozi wawili Wa Shirikisho la Soka TFF akiwemo Msimamizi wa  Mchezo Mkoa wa Mtwara Dastan Mkundi pamoja na katibu Mku wa Chama Hicho Mkoa wa Mtwara Kizito Mbano Mwenyekiti wa soko Mkoa…

MTWAREFA YAIJIBU TFF KUHUSU TUHUMA ZA VIONGOZI WAKE KUGHUSHI NYARAKA ZA MAPATO.

Siku chahche baada ya Sekretarieti ya Shirikisho la Soka Nchini TFF kutoa taarifa ya kuwafikisha katika kamati ya maadili Viongozi wanne wa Soka Wakiwamo Msimamizi wa Kituo cha Mtwara Dastan Mkundi Katibu Mkuu wa Mkoa wa Mtwarefa Kizito Mbano,katibu Msaidizi…

RAIS WA FIFA KUHUDHURIA MKUTANO DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepata uenyeji wa mkutano mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) unaotarajiwa kufanyika Februari 22 mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere ulioko eneo la Posta jijini Dar es Salaam. Akizungumza…