Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
January 10, 2025
MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu awasili Uganda kumwakilisha Rais Samia mkutano wa kilimo
Jamhuri
Comments Off
on Waziri Mkuu awasili Uganda kumwakilisha Rais Samia mkutano wa kilimo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Fredrick Bwino Kyakulaga alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe nchini Uganda ambako atamwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika Mkutano kuhusu Mpango wa Kilimo Afrika utakaofanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Speke Resort and Conference Centre Munyonyo Januari 11, 2025. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Meja Jenerali Paul Kisesa na kulia ni Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Kanali Mstaafu Fredy Mwesigye. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa na Waziri wa Nchi anayeshugulikia Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Uganda, Fredrick Bwino Kyakulaga (wa pili kushoto) alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe nchini Uganda Januari 10, 2025 ambako atamwakilisha Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika Mkutano kuhusu Mpango wa Kilimo Afrika utakaofanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Speke Resort anda Conference Centre Munyonyo Januari 11, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
.
Post Views:
197
Previous Post
Dk Mpango: Tanzania inathamini ushirikiano wake na Marekani
Next Post
Mchakato wa Dira 2050 waanza, AZAKI watoa maoni
Dk Mpango atoa wito kwa majaji, mahakimu wanawake kutofumbia macho vitendo vya ukatili
TEF yawapongeza Dk Samia, Dk Mwinyi, Dk Nchimbi
Mikoa sita kunufaika na msaada wa kisheria wa mama Samia
Polisi Pwani wamkamata aliyesambaza picha chafu za utupu akihusisha shule ya Baobab
Wamuua ndugu yao na kumfukia kwenye shimo nyumbani kwake
Habari mpya
Dk Mpango atoa wito kwa majaji, mahakimu wanawake kutofumbia macho vitendo vya ukatili
TEF yawapongeza Dk Samia, Dk Mwinyi, Dk Nchimbi
Mikoa sita kunufaika na msaada wa kisheria wa mama Samia
Polisi Pwani wamkamata aliyesambaza picha chafu za utupu akihusisha shule ya Baobab
Wamuua ndugu yao na kumfukia kwenye shimo nyumbani kwake
TikTok yarejesha huduma zake Marekani baada ya ahadi ya Trump
Jafo aagiza jengo la Metrolojia CBE likamilike kwa wakati
Trump aahidi kuwazuia wahamiaji kuingia Marekani
Uhusiano baina ya Tanzania, Czech kung’ara
Rais Samia, Mwinyi mitano tena
Simba njia nyeupe
Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Wazazi jamii ya kifugaji wamuomba Waziri kuingilia kati sakata la kuchukuliwa kwa watoto wao kinyemela
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM