Oxfarm: Kilimo kitaondoa umaskini
DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Shirika la Oxfarm Tanzania limewaasa wadau wa maendeleo nchini kuweka kipaumbele katika sekta ya kilimo ili kutokomeza umaskini. Akizungumza katika warsha ya wiki mbili iliyowakutanisha wadau wa kilimo nchini, Ofisa Ushawishi wa shirika hilo, George Mwita, amesema kilimo ndiyo sekta inayochukua kundi kubwa la wajasiriamali na wazalishaji mali nchini….