Author: Jamhuri
Hali inatisha Kanda ya Ziwa
*Mwaka mmoja wa uvuvi haramu watikisa uchumi, watishia kuliua Ziwa Victoria *Makokoro, nyavu hatari kutoka Uganda, Burundi vyaingizwa kwa fujo *Kidole cha lawama chaelekezwa kwa viongozi wa serikali ngazi ya vijiji *TAFIRI wakiri, watega nyavu kwa saa mbili ziwani na…
Rais Samia wekeza katika gesi
Na Deodatus Balile Wiki iliyopita nilihitimisha makala yangu kwa aya hizi: “Sitanii, ukurasa umekuwa finyu. Hili la miundombinu nitalidadavua zaidi wiki ijayo. Tunatumia wastani wa Sh trilioni 7 kuagiza mafuta kutoka nje ya nchi kwa mwaka. Tunaweza kuachana na utumwa…
Compaore afungwa kwa mauaji ya Kapteni Sankara
Na Nizar K Visram Jumanne Aprili 6, mwaka huu, Blaise Compaoré, Rais wa zamani wa Burkina Faso, amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa mauaji ya Thomas Sankara, rais wa nchi hiyo aliyeuawa Oktoba 1987. Hukumu ilitolewa na mahakama ya kijeshi…
Yanga yasaka rekodi ya Simba kimyakimya
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Vinara wa Ligi Kuu, Yanga, wanaisaka kimyakimya rekodi iliyowekwa na Simba miaka 12 iliyopita ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu bila kufungwa. Rekodi hiyo ya Simba ipo hatarini kwa sasa wakati ambao Yanga wanaonekana…
MIAKA 100 YA MWALIMU… Tanzania ilikuwa Makka ya wapigania uhuru
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Ifuatayo ni mada iliyotolewa na Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Aboubakary Liongo, katika maadhimisho ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa lililofanyika Aprili 9, 2022 Chuo cha Uongozi Kibaha. Ndugu zangu, wakati tunaadhimisha…
Hofu Vita ya Tatu ya Dunia
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Ipo hofu ya kuzuka kwa vita ya tatu ya dunia, hali hiyo ikichochewa na matamshi ya Rais Joe Biden wa Marekani na matendo ya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya dhidi ya Urusi, hasa…