JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ajali yaua watoto wawili wa familia moja Mbeya

Na Manka Damia,JamhuriMedia,Mbeya Watu wawili wamefariki dunia mkoani Mbeya na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali baada basi dogo kufeli breki katika mteremko mkali wa Mbalizi na kugonga magari mengine matatu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Novemba 9,2022, Kamanda wa…

Zao la korosho lawaingizia wakulima Ruvuma bil.291/-

Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Ruvuma Takwimu za uzalishaji wa zao la korosho mkoani Ruvuma zinaonesha kuwa katika kipindi cha miaka mitano mfululizo zao hilo limewaingizia wakulima shilingi bilioni 291.9. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas wakati anafungua…

TEF yaishauri Serikali kuwekeza katika mafunzo na vifaa vya uokoaji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),limepokea kwa masikitiko vifo vya watu 19 waliokufa katika ajali ya ndege ya shirika la Ndege la Precision siku ya Jumapili Novemba 6, 2022. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari…

Akamatwa akiwa na mkono wa albino kwenye begi

Na Daud Magesa,JamhuriMedia,Mwanza Jeshi la Polisi mkoani Mwanza,linawashikilia watu 21 kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo mwenye ualbino katika wilaya za Kwimba na Sengerema. Watuhumiwa hao wanadaiwa kufanya mauaji ya watu hao wawili kwa nyakati na matukio tofauti…