JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ubaguzi, unafiki vita ya Urusi Vs Ukraine

Na Nizar K Visram Limekuwa jambo la kawaida kwa vyombo vya habari na serikali zao za Magharibi kuilaani Urusi, wakisema ni uhalifu wa sheria ya kimataifa kwa nchi moja kuivamia nchi nyingine.  Lakini sheria hiyo hutiwa kapuni pale nchi za…

Hotuba ya Dk. Mwinyi kwa wahariri

Ifuatayo ni hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Sita wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), aliyoitoa kwenye Ukumbi wa Idris Abdul Wakil, Zanzibar,…

SIKU YA WANAWAKE Binti mwendesha mitambo avutia wengi

ARUSHA Na Zulfa Mfinanga Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD) hufanyika Machi 8 ya kila mwaka tangu yalipoanza kuadhimishwa kimataifa mwaka 1911. Ni zaidi ya miaka 25 sasa tangu kufanyika kwa Mkutano wa Beijing ulioweka bayana makubaliano ya msingi…

Yawaze maisha ya Simba,  Yanga bila ‘Abramovich’ 

Dar es Salaam NA MWANDISHI WETU  Mashabiki wa soka duniani wanafahamu kwamba kwa sasa Klabu maarufu ya Chelsea ya Uingereza inapita katika wakati mgumu sana.  Wanakopita Chelsea kwa sasa kunafahamika kwa Kiitaliano kama ‘Vea De ra Rosa’ (yaani njia ya…

‘Serengeti Festival yabadili sura Bongo Fleva’

DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Mwishoni mwa wiki jijini Dodoma lilifanyika tamasha kubwa la Serengeti, lililofanikiwa kukata kiu ya mashabiki na wapenzi wa Bongo Fleva kwa siku mbili mfululizo (Jumamosi na Jumapili). Tamasha hilo limefanyika katika msimu wa pili…

Tafsiri halisi Mbowe kufutiwa mashitaka

Na Bashir Yakub Nimemsikia Mwenyekiti wa Chama cha Dermokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, akisema kuwa hakutaka kufutiwa mashitaka bali alitaka kesi ifike mpaka mwisho (yaani hukumu). Yawezekana anasema hivyo kutokana na sababu ya tafsiri halisi ya kufutiwa kwake mashitaka. …