Author: Jamhuri
Vitalu vya uwindaji yale yale
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji wa Kitalii kwa njia ya kielektroniki umelalamikiwa na sasa baadhi ya wadau wenye tasnia hiyo wameshauri mnada urejewe. Wanasema kurejewa huko si tu kwamba kutakuwa ni kuwatendea haki waombaji…
Rais Samia, kuachiwa Mbowe na Urusi
Na Deodatus Balile Wiki iliyopita ilikuwa na matukio mengi, ila nitayagusia makubwa machache. Kwanza nianze la kesho Jumatano, Machi 9, 2022 ambapo Jukwaa la Wahariri Tanzania litakuwa linafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 2022. Huu mkutano utahusisha wahariri zaidi ya…
Tunakaribia kumtua mzigo Samatta
Dar es Salaam NA MWANDISHI WETU Kelvin John ajiandae kuubeba mzigo mzito wa kaka yake Mbwana Samatta katika soka la Tanzania. Ajiandae na maneno magumu ya Watanzania yatakapokuwa yanapenya kwenye ngoma za masikio yake. Ajiandae kuambiwa anacheza kwa kujisikia. Ajiandae…
CRDB inapiga hatua kila kukicha
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Benki ya CRDB imeendelea kupiga hatua kubwa za kupigiwa mfano katika sekta ya fedha nchini, na sasa inatoa huduma katika maeneo yaliyodhaniwa kuwa yanazifaa nchi za Ulaya pekee. Ukiacha kushusha riba, kujenga jengo kubwa,…
Marekani yamnyooshea kidole Mtanzania
*Yamtuhumu kushiriki ugaidi, kusambaza silaha Msumbiji CAPE TOWN Afrika Kusini Peter Charles Mbaga, raia wa Tanzania, anatajwa na Idara ya Fedha ya Marekani kama mmoja wa watu wenye uhusiano na kikundi cha kigaidi cha Msumbiji, ISIS-Mozambique. Mbaga anayefahamika pia kama…
Kaulimbiu Siku ya Wanawake itekelezwe kwa vitendo
Leo ni Siku ya Wanawake Duniani. Kwa kawaida huadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka. Kaulimbiu ya mwaka huu ni ‘Usawa wa jinsia leo kwa maendeleo ya kesho’. Lengo likiwa ni kutambua mchango wa wanawake na wasichana duniani kote katika kukabiliana…