JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwanafunzi kidato cha tatu ajiua kwa kujipiga risasi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Kilimanjaro Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari St.Mary Goreti iliyopo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Robert Meier (17), amejiua kwa kujipiga risasi na kuacha ujumbe mwili wake uchomwe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,…

GSM yaingia mkataba na Yanga wasaini Bil.10.9/-

Klabu ya YangaSC leo Septemba 12, 2022 imesaini mikataba mipya miwili na wadhamini wao GSM, mkataba wa kwanza ni wa udhamini wa uzalishaji na usambazaji jezi na vifaa mbalimbali wenye thamani ya shilingi bilioni 9.1 kwa muda wa miaka mitano….