Author: Jamhuri
‘Hatuchukui tena makapi ya CCM’
Niliposoma maneno hayo katika Gazeti la Mwananchi toleo Na. 5098, Jumanne, Julai 8, 2014, ukurasa wa mbele (na maelezo uk. 4: Siasa) nilipigwa na butwaa!
Lakini nilitaka nijiridhishe na kile nilichokisoma kwa kuwapigia simu wahusika — Gazeti la Mwananchi. “Haya mliyoandika mna hakika yametamkwa na Dk. Wilbrod Slaa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)?”
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Kulalamika kunalowesha uchumi wetu
Naandika makala hii nikiwa nahudhuria kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Wiki zijazo nitawashirikisha fursa za kibiashara na kiuwekezaji zilizopo Nyanda za Juu Kusini (mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya).
Operesheni saka wachawi yatikisa Geita
Vikongwe waauwa
Operesheni haramu ya mauaji ya kinyama dhidi ya wanawake vikongwe, inayofanywa na kikundi cha Chinja Chinja isipodhibitiwa mkoani wa Geita, kuna hatari ya hazina hiyo muhimu kwenye Taifa kumalizika kwa kuuawa bila hatia.
Mwanamke aliyenusurika kifo kisa dini
Meriam Yahia Ibrahim Ishag au Maryam Yahya Ibrahim Ishaq ni raia wa Sudani kwa anayeishi nchini Marekani katika Jimbo la Philadelphia kwa sasa, kutokana na kukimbia nchini kwake baada ya kupona hukumu ya kifo kwa madai ya kuasi dini yake.
Tuvunje Bunge la Katiba tukawahoji wananchi kama wanataka Muungano
Wiki hii nafahamu kuwa kuna tukio la aina yake nchini. Ni kwa mantiki hiyo, nashindwa kuendelea na mada yangu ya gesi. Naomba niisogeze mbele kwa wiki moja. Yanayotokea ni ya mpito, ila Tanzania itabaki.
Habari mpya
- Wanahabari wajadili mustakabali mpya sekta ya habari Tanzania
- Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini ndani ya Afrika
- Waziri Kombo aagana na Balozi mteule wa Tanzania nchini Comoro
- Mwandishi wa habari Mbeya ahukumiwa kwenda jela miaka 60
- NEMC kupanda miti 40, 000 maadhimisho miaka yake 40
- Neema ya umeme yashuka mwambao wa ziwa Nyasa
- Waziri Mkenda: Usimamizi wa ajira na rasilimaliwatu waimarishwa
- Tanzania, Belarus kushirikiana na kupitia TPA kuimarisha uchukuzi kupitia bandari ya Dar
- Ushirikiano wa sekta chachu ya mafanikio ya Afya Moja
- Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora
- Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM
- Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95
- Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara
- Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini
- Salome atembelea ubalozi wa Tanzania nchini Misri