Author: Jamhuri
‘Hatuchukui tena makapi ya CCM’
Niliposoma maneno hayo katika Gazeti la Mwananchi toleo Na. 5098, Jumanne, Julai 8, 2014, ukurasa wa mbele (na maelezo uk. 4: Siasa) nilipigwa na butwaa!
Lakini nilitaka nijiridhishe na kile nilichokisoma kwa kuwapigia simu wahusika — Gazeti la Mwananchi. “Haya mliyoandika mna hakika yametamkwa na Dk. Wilbrod Slaa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)?”
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Kulalamika kunalowesha uchumi wetu
Naandika makala hii nikiwa nahudhuria kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Wiki zijazo nitawashirikisha fursa za kibiashara na kiuwekezaji zilizopo Nyanda za Juu Kusini (mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya).
Operesheni saka wachawi yatikisa Geita
Vikongwe waauwa
Operesheni haramu ya mauaji ya kinyama dhidi ya wanawake vikongwe, inayofanywa na kikundi cha Chinja Chinja isipodhibitiwa mkoani wa Geita, kuna hatari ya hazina hiyo muhimu kwenye Taifa kumalizika kwa kuuawa bila hatia.
Mwanamke aliyenusurika kifo kisa dini
Meriam Yahia Ibrahim Ishag au Maryam Yahya Ibrahim Ishaq ni raia wa Sudani kwa anayeishi nchini Marekani katika Jimbo la Philadelphia kwa sasa, kutokana na kukimbia nchini kwake baada ya kupona hukumu ya kifo kwa madai ya kuasi dini yake.
Tuvunje Bunge la Katiba tukawahoji wananchi kama wanataka Muungano
Wiki hii nafahamu kuwa kuna tukio la aina yake nchini. Ni kwa mantiki hiyo, nashindwa kuendelea na mada yangu ya gesi. Naomba niisogeze mbele kwa wiki moja. Yanayotokea ni ya mpito, ila Tanzania itabaki.
Habari mpya
- TPA yanunua boti za kisasa kuimarisha ulinzi bandarini
- Taasisi 300 kufungiwa mifumo ya nishati safi ya kupikia 2026/2027
- Utalii wa Kijiolojia Dodoma; Yoderite na mageuzi ya Kongwa kuwa urithi wa dunia
- Mradi wa njia ya umeme Chalinze – Dodoma wafikia asilimia 89
- Waziri Mkuu: Wakandarasi warejee site
- Serikali yaanza enzi mpya ya usafi wa mazingira kupitia mkakati wa huduma jumuishi
- Watanzania watakiwa kulinda amani
- Makusanyo ya kodi yaendane na kasi ya ukuajia uchumi – Waziri wa Fedha
- Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime
- Tanzania, Marekani zasaini hati ya makubaliano za dola bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya
- Mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja waimarisha upatikanaji, udhibiti wa bei na mapato ya taifa
- Serikali yapeleka vicheko barabara ya Makambako- Songea
- Watanzania kunufaika na umeme wa uhakika, TANESCO yavunja rekodi, wateja laki nane waunganishwa
- Bangu awataka waendesha ghala kuimarisha uadilifu na uwajibikaji
- Maonesho Sabasaba yaonesha mafanikio – Kapinga