Author: Jamhuri
Lembeli: Mbunge mahiri au muuza nchi?
Vyombo kadhaa vya habari vimeandika taarifa za Mjumbe wa Bodi ya African Parks Network (APN), James Lembeli, kuwashitaki wanahabari na wahariri wa vyombo kadhaa vya habari.
Kwenye orodha hiyo, jina la Manyerere Jackton limo. Pamoja nami, kuna makomredi wengine walioamua kwa haki kabisa kusimama kidete kulinda rasilimali za nchi yetu. Wito wangu kwa wote — tusikate tamaa.
Hadi naandika makala haya, sijapokea barua yoyote kutoka, ama kwa Lembeli au katika Mahakama ikinieleza bayana suala hilo. Kwa sababu hiyo, bado taarifa hizi nazichukulia kama taarifa nyingine zisizo rasmi, ingawa lisemwalo lipo, na kama halipo, laja.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Ujumbe wa Pluijm uzingatiwe
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Hans Van Der Pluijm, ametema nasaha nzito kwa timu hiyo, ambazo zinastahili kuzingatiwa pia na klabu nyingine za soka hapa Tanzania. Akizungumza katika hafla ya kumuaga…
- Mwandishi wa habari Mbeya ahukumiwa kwenda jela miaka 60
- NEMC kupanda miti 40, 000 maadhimisho miaka yake 40
- Neema ya umeme yashuka mwambao wa ziwa Nyasa
- Waziri Mkenda: Usimamizi wa ajira na rasilimaliwatu waimarishwa
- Tanzania, Belarus kushirikiana na kupitia TPA kuimarisha uchukuzi kupitia bandari ya Dar
Habari mpya
- Mwandishi wa habari Mbeya ahukumiwa kwenda jela miaka 60
- NEMC kupanda miti 40, 000 maadhimisho miaka yake 40
- Neema ya umeme yashuka mwambao wa ziwa Nyasa
- Waziri Mkenda: Usimamizi wa ajira na rasilimaliwatu waimarishwa
- Tanzania, Belarus kushirikiana na kupitia TPA kuimarisha uchukuzi kupitia bandari ya Dar
- Ushirikiano wa sekta chachu ya mafanikio ya Afya Moja
- Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora
- Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM
- Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95
- Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara
- Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini
- Salome atembelea ubalozi wa Tanzania nchini Misri
- PPP yaongeza thamani ya miradi hadi trilioni 8.5, wito watolewa kufanyia maboresho sheria ya utumishi
- EACOP yaweka rekodi ya saa milioni 6 bila ajali kazini
- Dkt Muyungi ashiriki Mkutano Agenda ya Maendeleo Endelevu