Author: Jamhuri
Lembeli: Mbunge mahiri au muuza nchi?
Vyombo kadhaa vya habari vimeandika taarifa za Mjumbe wa Bodi ya African Parks Network (APN), James Lembeli, kuwashitaki wanahabari na wahariri wa vyombo kadhaa vya habari.
Kwenye orodha hiyo, jina la Manyerere Jackton limo. Pamoja nami, kuna makomredi wengine walioamua kwa haki kabisa kusimama kidete kulinda rasilimali za nchi yetu. Wito wangu kwa wote — tusikate tamaa.
Hadi naandika makala haya, sijapokea barua yoyote kutoka, ama kwa Lembeli au katika Mahakama ikinieleza bayana suala hilo. Kwa sababu hiyo, bado taarifa hizi nazichukulia kama taarifa nyingine zisizo rasmi, ingawa lisemwalo lipo, na kama halipo, laja.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Ujumbe wa Pluijm uzingatiwe
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Hans Van Der Pluijm, ametema nasaha nzito kwa timu hiyo, ambazo zinastahili kuzingatiwa pia na klabu nyingine za soka hapa Tanzania. Akizungumza katika hafla ya kumuaga…
- Waziri Mkuu: Wakandarasi warejee site
- Serikali yaanza enzi mpya ya usafi wa mazingira kupitia mkakati wa huduma jumuishi
- Watanzania watakiwa kulinda amani
- Makusanyo ya kodi yaendane na kasi ya ukuajia uchumi – Waziri wa Fedha
- Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime
Habari mpya
- Waziri Mkuu: Wakandarasi warejee site
- Serikali yaanza enzi mpya ya usafi wa mazingira kupitia mkakati wa huduma jumuishi
- Watanzania watakiwa kulinda amani
- Makusanyo ya kodi yaendane na kasi ya ukuajia uchumi – Waziri wa Fedha
- Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime
- Tanzania, Marekani zasaini hati ya makubaliano za dola bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya
- Mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja waimarisha upatikanaji, udhibiti wa bei na mapato ya taifa
- Serikali yapeleka vicheko barabara ya Makambako- Songea
- Watanzania kunufaika na umeme wa uhakika, TANESCO yavunja rekodi, wateja laki nane waunganishwa
- Bangu awataka waendesha ghala kuimarisha uadilifu na uwajibikaji
- Maonesho Sabasaba yaonesha mafanikio – Kapinga
- Prof. Shemdoe awapongeza maafisa afya kupunguza mlipuko wa kipindupindu nchini
- Yawataka maofisa afya mikoa yote kuongeza kasi katika afua za afya na usafi wa mazingira
- Miaka 100 tangu Bunge lianze, Spika asema kuna mengi ya kujivunia
- Naibu Waziri Mahundi : Malezi bora ni uwekezaji wa kizazi na maendeleo ya taifa