Author: Jamhuri
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
Mauaji ya Barlow wingu zito latanda
*Polisi wasema kijana aliyetaja mtandao ni mgonjwa wa akili
*Yeye asisitiza kuwa kichaa, analazimishwa dawa Muhimbili
*Ndugu waeleza historia, daktari anayemtibu aingia mitini
Jeshi la Polisi nchini limempeleka na kumlaza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, kijana Mohamed Malele, mshirika wa mtandao uliohusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, wakidai ni mgonjwa wa akili.
RPC ‘atumika’ kuchangisha rushwa
* Watendaji wadaiwa kutumia jina lake kula rushwa kwa walima bangi
* RPC Tarime/Rorya awaruka, DC asema dawa yao inachemka
Maofisa watendaji wa Kijiji cha Kwisarara na Kata ya Bumera wanatuhumiwa kutumia jina la Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) wa Kipolisi Tarime/Rorya kuchukua rushwa ya fedha kutoka kwa wakulima wa zao haramu la bangi.
Rage ni tatizo Simba-Kalimauganga
Mwenyekiti wa Friends of Simba, Mkoa wa Tabora, Sadiki Kalimauganga, amesema kuwa kufanya vibaya kwa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam, katika Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika hivi karibuni, kunatokana na uongozi mbovu wa Ismael Aden Rage.
Diwani awaangukia wezi wa sola
Diwani wa kata ya Kisaka wilayani Serengeti, Chacha Togoche, ‘amewangukia’ wezi akiwaomba kutorudia kuiba sola katika zahanati ya kijiji cha Nyiboko.
- Ulega ataka barabara za AFCON zikamilike kwa wakati
- Aweso: Bwawa la Farkwa kuwa mwokozi wa changamoto ya maji Dodoma
- Mwenge wa Uhuru waridhishwa na miradi ya bilioni 2.159/- Same
- TRA Ruvuma yapanda miti Hospitali ya Wilaya Songea kuelekea maadhimisho miaka 30
- MD Twange afafanua chanzo cha hitilafu Gridi ya Umeme wa Taifa
Habari mpya
- Ulega ataka barabara za AFCON zikamilike kwa wakati
- Aweso: Bwawa la Farkwa kuwa mwokozi wa changamoto ya maji Dodoma
- Mwenge wa Uhuru waridhishwa na miradi ya bilioni 2.159/- Same
- TRA Ruvuma yapanda miti Hospitali ya Wilaya Songea kuelekea maadhimisho miaka 30
- MD Twange afafanua chanzo cha hitilafu Gridi ya Umeme wa Taifa
- Waziri Mkuu: Hatupaswi kupuuzia viashiria vya uvunjifu wa amani
- Ushirikiano wa Tanzania, Urusi kufungua fursa mpya za biashara, elimu
- Msigwa awataka Watanzania kupuuza hofu ya kudaiwa deni la taifa
- Daraja la mawe la Kanyunye latoa suluhisho la kudumu
- Rais Samia, Dangote wajadili fursa za uwekezaji nchini
- Msajili Hazina aonya taasisi za umma zenye utendaji duni
- Waziri Ndejembi aagiza kuudwa kamati ya uchunguzi wa hitilafu ya gridi ya taifa
- TMDA yapiga ‘stop’ matumizi dawa za mifugo zenye kiambata hai cha Levamisole
- Walimu bora wa Dodoma waenda Korea Kusini kusaka maarifa mapya
- Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano