Author: Jamhuri
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
Mauaji ya Barlow wingu zito latanda
*Polisi wasema kijana aliyetaja mtandao ni mgonjwa wa akili
*Yeye asisitiza kuwa kichaa, analazimishwa dawa Muhimbili
*Ndugu waeleza historia, daktari anayemtibu aingia mitini
Jeshi la Polisi nchini limempeleka na kumlaza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, kijana Mohamed Malele, mshirika wa mtandao uliohusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, wakidai ni mgonjwa wa akili.
RPC ‘atumika’ kuchangisha rushwa
* Watendaji wadaiwa kutumia jina lake kula rushwa kwa walima bangi
* RPC Tarime/Rorya awaruka, DC asema dawa yao inachemka
Maofisa watendaji wa Kijiji cha Kwisarara na Kata ya Bumera wanatuhumiwa kutumia jina la Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) wa Kipolisi Tarime/Rorya kuchukua rushwa ya fedha kutoka kwa wakulima wa zao haramu la bangi.
Rage ni tatizo Simba-Kalimauganga
Mwenyekiti wa Friends of Simba, Mkoa wa Tabora, Sadiki Kalimauganga, amesema kuwa kufanya vibaya kwa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam, katika Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika hivi karibuni, kunatokana na uongozi mbovu wa Ismael Aden Rage.
Diwani awaangukia wezi wa sola
Diwani wa kata ya Kisaka wilayani Serengeti, Chacha Togoche, ‘amewangukia’ wezi akiwaomba kutorudia kuiba sola katika zahanati ya kijiji cha Nyiboko.
- Wazuri Mkuu azungumza na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
- Katibu Mkuu ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira ashuhudia mchezo wa Yanga na Azam
- Ushirikiano VETA na Emirates Aluminium waibua matumaini kwa mafundi wa fani ya vioo
- Wananchi Dar wakumbushwa kulipia pango la ardhi ndani ya siku 14
- THTU yataka utafiti ubadilishwe kuwa mapato na ajira
Habari mpya
- Wazuri Mkuu azungumza na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
- Katibu Mkuu ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira ashuhudia mchezo wa Yanga na Azam
- Ushirikiano VETA na Emirates Aluminium waibua matumaini kwa mafundi wa fani ya vioo
- Wananchi Dar wakumbushwa kulipia pango la ardhi ndani ya siku 14
- THTU yataka utafiti ubadilishwe kuwa mapato na ajira
- Waziri Mkuu ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la KKKT usharika wa Azania Fron
- Rais Dk Samia azindua Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu Kigamboni Jijini Dar
- Asilimia 10 yaendelea kuzaa matunda, mwenge wazindua basi la vijana Mkuranga
- MSD yajiimarisha mfumo wa ununuzi bidhaa za afya nchini
- Serikali yaimarisha uwazi sekta ya madini, bei elekezi kutolewa kila siku
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
- Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu
- Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili
- Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
- Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza