Category: Habari Mpya
Mmoja afariki kwa mafuriko, wengine waokolewa Ifakara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilombero Mtu mmoja amefariki na wengine kuokolewa baada ya mvua kubwa kunyesha wilayani Kilombero. Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Dunstan Kyobya amethibitisha kutokea kwa kifo cha mtu mmoja baada kutumbukia kwenye kina kirefu…
Dk Biteko aagiza mpango mkakati kuimarisha huduma afya ya msingi
📌Asisitiza kutoa elimu ya afya kwa jamii 📌Aupongeza Mfumo wa M-mama uliobuniwa na Watanzania 📌Jumla ya vituo 2,799 vimejengwa na vingine kufanyiwa ukarabati kuanzia mwaka 2017 hadi 2024 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza…
Tanzania yapandishwa uwezo wake wa kukopa kimataifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Tanzania imepandishwa kwenye orodha ya kimataifa ya viwango vya nchi vya kukopa kutokana na kuimarika kwa uchumi wake ndani ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Hii ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa…
Serikali yazindua Mpango Mkakati wa wadau wa elimu mkoa wa Dodoma
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa amezindua Mpango mkakati wa wadau wa elimu mkoa wa Dodoma huku akitoa maagizo mbalimbali ikiwemo kuwataka Wakuu wa Wilaya nchini kuhakikisha wanawafuatilia Wanafunzi ambao hawajaripoti Shuleni kwa…
TRA yatoa elimu ya mlipa kodi kwa waendesha bajaji, bodaboda
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema kuwa itaendelea kujenga mahusiano mazuri na waendesha bajaji na pikipiki maarufu kama bodaboda pamoja na kushiriana nao kwani kazi hiyo ni kama kazi zingine. Hayo yameelezwa leo Machi 25, 2024 na…





