Madaktari wa upasuaji masikio Hospitali za Rufaa za Mikoa na Kanda wajengewa uwezo Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) na Hearwell Audiology Clinic zimeendesuha mafunzo ya siku tatu kwa wataalam kutoka hospitali mbalimbali nchini yenye lengo la kuwajengea uwezo juu ya upasuaji wa masikio. Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo…

Read More

Kwaresma: Ubatizo, Kufunga na Tabia Njema

Na Padri Stefano Kaombe Kati ya vipindi muhimu kabisa vya kiliturujia katika Kanisa nikipindi cha Kwaresma, wengi wetu tuna kumbukumbu nyingi kuhusiana na kipindi hiki, hasa kaidadini ya kupakwa majivu siku ya Jumatano ya Majivu, Njia ya Msalaba kila Ijumaa, kufunga, kutopiga kinanda na ala zingine wakati wa kuimba na hasa utajiri mkubwa wa nyimbo…

Read More

Tanzania mbioni kutumia teknolojia mpya ya utangazaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ipo katika hatua za mwisho kukamilisha mapitio ya Kanuni za Utangazaji kuruhusu matumizi ya teknolojia mpya ya utangazaji wa redio kidijitali maarufu kama ‘Digital Sound Broadcasting (DSB)’. Akifungua Mkutano wa mwaka wa vyombo vya utangazaji jijini Dodoma, Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na…

Read More

Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali Bandari ya Mtwara wavunja rekodi

●Serikali yawekeza Bil.157.8/-, Matokeo chanya yaanza kuonekana●Yajivunia kuwa na tozo nafuu kuliko bandari shindani ukanda wa Afrika Mashariki Na Stella Aron, JamhuriMedia, Mtwara BANDARI ya Mtwara ni mojawapo kati ya bandari kuu tatu za mwambao wa bahari zilizopo nchini, zinazosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) bandari nyingine ni Dar es Salaam na…

Read More