Category: Habari Mpya
Rais Mwinyi kufungua mkutano wa masuala ya anga wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kesho
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar RAIS wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi anatarajia kufungua Mkutano wa sita wa masuala ya anga wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kesho visiwani Zanzibar ambao utajadili mambo mbalimbali ikiwemo masuala ya usalama wa anga. Akizungumza…
Mfumo SADC Med database (SMD) wazinduliwa kusaidia sekta ya afya
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SAC sekta ya afya wamekubaliana wanakuza mashirikiano ya pamoja kupitia bohari zao za dawa kutumia mfumo wa SADC Med Database (SMD) kufanya manunuzi ya bidhaa za…
Elimu inayotolewa na TAWA yamwokoa mwananchi mdomoni mwa mamba
Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Mwanza Mkazi wa Kijiji cha Kasenyi kilichopo wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Bw. Obeid Francis (44) amenusurika kuliwa na mnyamapori aina ya mamba baada ya kuikumbuka na kuitumia elimu ya kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na wanyamapori…
Wiki ya Tathmini na Ufuatiliaji itumike kuongeza ufanisi utendaji shughuli za Serikali -Dkt. Yonazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema Wiki ya Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza itumike katika kuongeza Ufanisi na Utendaji wa Shughuli za Serikali ili kuhakikisha kunakuwa na matokeo chanya…
Biteko : Wekeza katika utafiti kuchochea maendeleo
📌Rais Samia atunukiwa tuzo kwa mchango wake Sekta ya Afya 📌NIMR yapongezwa kwa ushawishi wa utafiti kimataifa 📌Serikali yatoa kipaumbele tafiti za kisayansi 📌Vituo vya utafiti vyaaswa kushirikiana kuboresha utafiti Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati…
Wananchi Iringa watakiwa kulinda miundombinu ya barabara kwa matumizi endelevu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Wananchi mkoani Iringa wamehimizwa kuilinda na kuitunza vema miundombinu ya barabara ili iwe endelevu na wanufaike nazo kwa muda mrefu kwa maendeleo yao na Taifa kwa ujumla. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa TARURA mkoa…





