JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ugonjwa wa figo unavyogharimu maisha

Tanzania ni moja ya nchi zinazoendelea zilizoathiriwa kwa kiwango kikubwa na Magonjwa Yasiyoambukiza,kutokana na kuwaathiri watu wengi na kusababisha vifo. Mwaka huu kitaifa maadhimisho ya kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza yanafanyika mkoani Mwanza yakiwa na kauli mbiu ya Badili Mtindo…

Miili 19 yaagwa Kaitaba,Kijana aliyesadia kuokoa apewa kitita cha fedha

Majeneza yenye miili ya watu 19 waliofariki katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Jumapili Novemba 6, 2022 kwa kuzama katika Ziwa Victoria, Bukoba mkoani Kagera. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamaila ametoa kiasi cha Shilingi Milioni moja…

Majina waliofariki ajali ya ndege haya hapa

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila amesema kuwa idadi ya watu waliofariki kutokana na ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea asubuhi leo katika ziwa Victoria wakati ikitua imeongezeka na kufikia vifo vya watu 19. Amewataja walioopolewa wakiwa wamekufa…

Majaliwa awajulia hali mama na mwanaye waliokolewa ajali ya ndege

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Kagera kushuhudia zoezi la uokoaji wa Ndege ya Shirika la Precision Air iliyopata ajali katika Ziwa Victoria, Bukoba mkoani Kageriliyopata ajali mkoani Kagera. Majaliwa amewajulia hali wahanga wa ajali wanaopata matibabu katika hospitali ya…

BREAKING NEWS:Idadi ya vifo vyafikia 19 ajali ya ndege

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila amesema kuwa idadi ya watu waliofariki kutokana na ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea asubuhi leo katika ziwa Victoria wakati ikitua imeongezeka na kufikia vifo vya watu 19. Chalamila ametoa taarifa hiyo…