JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Watatu wafariki ajali ya Precision Air

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera Issessanda Kaniki ameeleza kuwa kumetokea vifo vya watu watatu katika ajali ya ndege ya Precision Air Bukoba mkoani Kagera. Kwa mujibu wa Mganga Mkuu, wawili kati ya hao waliofariki ni wanaume na mmoja ni…

Ndege yaangukia Ziwa Victoria Bukoba, 29 waokolewa

Ndege ya Shirika la Ndege la Precision Air imeanguka katika Ziwa Victoria karibu na Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera. Kamanda wa Polisi mkoani humo amethibitisha kuanguka kwa ndege hiyo, na kuwa uokoaji unaendelea na atatoa taarifa kwa kina…

Afritrack yaja na suluhisho la kuondoa ugomvi kwa wenye nyumba na wapangaji

Na Mussa Agustine,JamhuriMedia Kampuni ya Afritrack imekuja na mfumo wezeshi wa kufuatilia matumizi ya umeme katika majengo makazi na majengo biashara. Hayo yamesemwa na Afìsa Masoko wa kampuni hiyo Gabrieĺa Faith katika maonyesho ya ujenzi yanayoendelea jijini Dar es Salaam….

‘Viongozi wa dini toeni mafunzo kupunguza mmomonyoko wa maadili’

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaomba viongozi wa dini nchini wakiwemo wa Jumuiya ya Kiislamu ya Istiqaama Tanzania waongeze juhudi katika kutoa mafunzo ya dini ili kupunguza au kuondoa kabisa mmomonyoko wa maadili unaoikabili jamii. Waziri Mkuu amesema viongozi wa dini,…

Mgambo washauriwa kushiriki bila woga ulinzi na usalama

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza Amina Makilagi amefunga mafunzo ya awali ya askari wa Jeshi la akiba (mgambo) na kuwaasa wahitimu wa mafunzo hayo kuwa raia wema ili waweze kulitumikia Taifa. Makilagi amefunga mafunzo hayo jana Ijumaa Novemba…