JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bashungwa : Barabara zote zilizoathiriwa na El Nino kufunguliwa kwa wakati

Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara. Licha ya uharibifu unaotokea Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS)…

Mwenge wa Uhuru kupitia miradi 126 yenye thamani ya trilioni 8.536 Pwani – Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze MWENGE wa Uhuru Kitaifa umeingia Mkoa wa Pwani ukitokea Mkoa wa Morogoro ambapo utakagua, kuweka jiwe la msingi na kutembelea miradi 126 yenye thamani ya trilioni 8.536 . Kati ya miradi hiyo 18 itawekwa mawe…

Hatua za dharura zaendelea kuchukuliwa na TANROADS Morogoro kurejesha miundombinu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro imewataka Wananchi wa Mkoa huo kuwa watulivi wakati Serikali ikiendelea kuchukuwa hatua za dharura kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibika katika kipindi hiki cha mvua kubwa…

Benchika abwaga manyanga Simba

Na Isri Mohamed Klabu ya soka ya Simba leo Aprili 28, 2024 imetangaza rasmi kuachana na kocha wake Mkuu, Abdelhak Benchika na wasaidizi wake wawili kwa makubaliano ya pande zote mbili. Benchika alijiunga na Simba mwezi Novemba mwaka jana, na…