JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

LPG yapongeza Serikali kwa juhudi ya kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMediaDar es Salaam Chama Wafanyabiashara Waagizani na Wasambazaji wa gesi ya kupikia Majumbani LPG kimeipongeza Serikali kwa juhudi wanayoifanya kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi wake wenye kipato cha chini ikiwemo mama na baba lishe, ili kusaidia…

Masauni,IGP Wambura waahidi uchaguzi huru na haki Serikali za Mitaa, Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Jamuhuri Media Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaahidi Watanzania kuwepo kwa uchaguzi huru na haki ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu pamoja na Uchaguzi Mkuu mwakani huku ikisisitiza kila mtu…

DC Tarime ampa tano mbunge Tarime Vijijini Waitara kwa ubunifu

Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mkuu wa Wilaya Tarime, Kanali Maulidi Hassan Surumbu amempongeza Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini Mwita Waitara kwa kubuni semina ya maendeleo ya matokeo ya sensa 2022 ambayo ilishirikisha watu zaidi ya 1600 kutoka makundi…

Aua mke kwa shoka na kumzika porini

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora MKAZI wa kijiji cha Nzigala kata ya Kigwa, Wilayani Uyui Mkoani Tabora Bi.Kaluba Emmanuel (27) ameuawa kwa kukatwa na shoka na mume wake kwa kumtuhumu kuwa ana mahusiano na mwanaume mwingine. Kamanda wa Polisi Mkoani…

NEMC yapiga kambi kanda ya ziwa kuelimisha matumizi ya zebaki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali wameanza kampeni uya kutoa elimu kuhusu matumizi sahihi ya zebaki kwa migodi ya dhahabu kanda ya…

Serikali iliyoibadili sura mpya bandari ya Tanga kwa bilioni 400, msamaha wa tozo wawavutia wateja

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Tanga “Uboreshwaji mkubwa uliofanywa na Serikali kwa kuwekeza Bilioni 400 umeleta mapinduzi makubwa katika bandari ya Tanga ambapo hadi sasa umehudumia meli 29 zilizobeba tani 221, 440 na kuibadili bandari ya mkakati. “Pia uwekezaji huo umeibadili…