Category: Habari Mpya
Serikali kuendelea kuboresha huduma za saratani nchini – Dk Biteko
📌 Azindua Kituo cha Matibabu ya Saratani cha Aga Khan 📌 Ataka utoaji huduma usiwe wa kibaguzi 📌 Aelekeza Aga Khan kushirikiana na Taasisi ya Ocean Road kutoa huduma za mionzi 📌 Dkt. Samia atoa sh. Bilioni 10 kusomesha Madaktari…
Wizara ya Kilimo kuongeza ajira zenye staha kupunguza umaskini
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025, amesema wizara yake itaendelea kuwezesha upatikanaji wa ajira zenye staha na ushiriki wa vijana na wanawake kwenye…
Kumbilamoto awashauri wafanyabiashara kutumia mitandao ili kukuza biashara
Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omar Kumbilamoto amewaasa wafanyabiashara kufanya biashara kwa kutumia mitandao ikiwa na lengo kukuza biashara zao. Ameyasema hayo leo Mei 2, 2024, alipoakizindua duka la simu…
SMZ yatenga bilioni 34 posho ya nauli kwa wafanyakazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa wafanyakazi wa SMZ wataongezewa posho ya shilingi 50,000 ya nauli ili kuleta ufanisi katika kazi na kurahisisha masuala ya usafiri kwa…
Mei Mosi ni siku ya tafakuri kwa watumishi – Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI) ambayo huadhimishwa kila mwaka ni siku maalum kwa ajili ya wafanyakazi kutafakari na kutathmini namna walivyotekeleza malengo waliyojiwekea katika mwaka husika. Amesema kuwa siku hiyo inatoa fursa kwa wafanyakazi…





