Category: Makala
TPA inathamini mizigo ya wateja
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imefanya mambo mengi katika utoaji huduma bora kwa wateja wake. Ili kuhakikisha TPA inawahudumia wateja wake vizuri iliamua kuwa na Mkataba wa Huduma kwa Mteja, kuanzisha Kituo cha Huduma kwa Wateja na kufungua…
Ya Jacob Zuma ni ya kwetu pia
Kwenye hotuba aliyotoa ndani ya Bunge la Afrika Kusini baada ya kuanguka kwa utawala wa kibaguzi wa nchi hiyo, Mwalimu Julius Nyerere alilalamika jinsi ulimwengu unavyoiona Afrika, siyo kama bara linalojumuisha nchi zaidi ya 50, ila kama nchi moja. Ulimwengu,…
Tanzania iongeze kasi ya ukuaji wa uchumi wake – 1
Na Frank Christopher Kwa zaidi ya muongo mmoja, uchumi wa Tanzania umeweza kukua wastani wa asilimia 7 na kufanikiwa kutajwa kati ya nchi 10 zinazoshuhudia ukuaji wa kasi zaidi wa uchumi barani Afrika huku nyingine zikiwa Ethiopia, Ivory Coast, Senegal,…
Musoma Vijijini inateketea (2)
Na Dk. Felician Kilahama Sehemu ya kwanza, mwandishi wa makala hii, Dk. Felician Kilahama, alisema amekuwa akizungumza na viongozi mbalimbali katika vijiji alivyotembelea, lakini cha kushanganza hakuwahi kubahatika kukutana na viongozi wa vijiji wenye upeo mzuri na uelewa wa kutosha…
Maisha ya wananchi wa migodini yanafanane na uwepo wa rasilimali kwenye maeneo yao
Na Albano Midelo Uamuzi ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dk.John Magufuli, kuzuia uagizaji wa makaa ya mawe toka nje, badala yake watumiaji wote kutumia makaa ya mawe toka mgodi wa Ngaka Wilaya ya Mbinga Mkoa wa…
Mafanikio yoyote yana sababu (11)
Na Padre Dk. Faustin Kamugisha Shukrani ni sababu ya mafanikio. “Kama unataka kugeuza maisha yako, jaribu kushukuru. Maisha yako yatabadilika kwa kiasi kikubwa sana,” alisema Gerald Good. Ingawa tuna mioyo midogo, lakini inaweza kubeba jambo kubwa nalo ni shukrani. Hesabu mafanikio…





