Category: Makala
Unachukuaje fedha zilizoachwa na marehemu kwenye simu?
Na Bashir Yakub Leo tunaangalia namna ya kufanya ili uweze kuchukua fedha zilizoachwa kwenye akaunti ya simu na ndugu yako aliyefariki dunia; jinsi ya kufahamu iwapo ameacha fedha kwenye simu au hakuacha, hasa kama haujui namba yake ya siri ya akaunti…
‘Serikali imedhamiria kuungana na sekta binafsi’
DAR ES SALAAM Na Jackson Kulinga Siku moja kabla ya kufanyika mkutano wa 13 wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC), Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Paul Makanza, alizungumzia kuridhishwa kwake na umakini wa serikali katika kutekeleza maazimio…
Tulinde rasilimali za nchi yetu kwa wivu mkubwa
Septemba 1961, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, alitoa ilani iliyokuja kujulikana kama Ilani ya Arusha kuhusu uhifadhi. Alisema: “Kudumisha uhai wa wanyamapori wetu ni suala linalotuhusu sana sisi sote katika Afrika. Viumbe hawa wa porini pamoja na mapori wanamoishi siyo tu kwamba…
SSP Eva Stesheni: Askari mlinzi wa amani Darfur
DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Kwamba amani ni muhimu katika maisha ya kila siku ya binadamu ni suala lisilokuwa na ubishi. Amani ni nguzo ya maendeleo. Bila amani hakuna shughuli zozote za kijamii zinazoweza kufanyika. Bila amani maisha ni…
Israel yashitakiwa kwa mauaji ya wanahabari
Na Nizar K Visram Shireen Abu Aqleh alikuwa mwanahabari wa Kipalestina aliyeajiriwa na Shirika la Utangazaji la Al Jazeera hadi Mei 11, 2022 alipopigwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Israel. Aliuawa akiwa kazini akiripoti habari za wanajeshi hao kuvamia…
Lipumba na tuzo ya Mo Ibrahim kwa Rais Samia
MOROGORO Na Everest Mnyele Tuzo ya Mo Ibrahim ilianzishwa mwaka 2007 na bilionea wa Sudan, Mohamed ‘Mo’ Ibrahim, kupitia taasisi yake kwa madhumuni ya kuwatuza viongozi wa Afrika, hasa marais na wakuu wa serikali walioonyesha uongozi uliotukuka katika nchi zao. …





